DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

MLANGO MWINGINE WA ADUI KUTULETEA MAJARIBU.

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia. Kama tunavyojua adui yetu wa kwanza na wa mwisho ni shetani, ambaye biblia inasema anazunguka huko na huko kama simba…

Mruba ni mdudu gani kwenye biblia?(Mithali 30:15)

Mithali 30:15 Mruba anao binti wawili, Waliao, Nipe! Nipe! Kuna vitu vitatu visivyoshiba kamwe, Naam, vinne visivyosema, Basi! 16 Kuzimu; na tumbo lisilozaa; Nchi isiyoshiba maji; na moto usiosema, Basi!…

Nini maana ya msiwe waalimu wengi (Yakobo 1:3)?

Jibu: Yakobo 3:1  “Ndugu zangu, msiwe waalimu wengi, mkijua ya kuwa mtapata hukumu kubwa zaidi”. Sentensi hiyo ili ieleweke vizuri ni sawa na kusema “pasiwepo na waalimu wengi katikati yenu”.…

KUNA MAJIRA MUNGU ATAIVURUGA MIPANGO YETU.

Kuna mhubiri mmoja alisema Mungu havutiwi na ufanisi wetu kwake, bali anavutiwa na Imani yetu kwake, kwasababu biblia inasema.. …lakini mwenye haki ataishi kwa imani yake (Habakuki 2:4). Ni kweli…

Je! Daudi hakuwa mtoto wa ndoa wa Yese? (Zab 51:5)

SWALI: Bwana asifiwe,ukisoma zaburi 51:5,Daudi ana sema mama yake alichukua mimba hatiani, Je kwa mistari hiyo ina maana hakuwa mtoto wa Ndoa wa Yese? JIBU: Zaburi 51:5 inasema   “ Tazama,…

Ngome ni nini?  Kwanini Mungu anafananishwa na ngome?

Neno hili utaona likijuridia mara nyingi katika biblia husani katika maneno ya Daudi,  Kwamfano utaona katika  2Samweli 22:2  Daudi anasema… “.Bwana ndiye jabali langu, na ngome yangu, na mwokozi wangu,…

JIFUNZE KUTOA KATIKA HAZINA YAKO VITU VIPYA NA VYA KALE.

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze maandiko.. Mathayo 13:51  “Yesu aliwauliza, Mmeyafahamu hayo yote? Wakamwambia, Naam. 52  Akawaambia, Kwa sababu hiyo, kila mwandishi mwenye elimu ya ufalme…

THERE’S POWER WHICH DRAWS US TO CHRIST, VALUE IT!

Today, there's a unique power working throughout the world to influence and draw men unto Christ to be saved. It is the power of the Holy Spirit which stirs people…

Je! Ni dhambi kumpiga au kumuua mnyama bila sababu yoyote?

Biblia inatuambia kuwa viumbe vya Mungu navyo vinaugua, na vinapitia  shida kama sisi tu tunavyopitia.. Warumi 8:22 “Kwa maana twajua ya kuwa viumbe vyote pia vinaugua pamoja, navyo vina utungu…

Ayala, Paa na Kulungu ni wanyama gani?

Ayala ni mnyama jamii ya swala, ambaye anapatikana sana maeneo ya nchi za barini, wana pembe ndefu zilizotawanyika kama mashina ya miti (Tazama picha juu). Paa ni jamii ya swala…