DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Amwimbiaye nyimbo mtu mwenye moyo mzito.

Mithali 25: 20 “Amwimbiaye nyimbo mtu mwenye moyo mzito, Ni kama yeye avuaye nguo wakati wa baridi; Ni kama siki juu ya magadi”. Anaposema amwimbiaye nyimbo..anamaanisha nyimbo za furaha, au…

SABATO ILIFANYIKA KWAAJILI YA MWANADAMU NA SI MWANADAMU KWAAJILI YA SABATO!

Lengo la Mungu kuwapa watu amri ya kuitunza sabato lilikuwa ni tofauti na lilivyochukuliwa au kutafsiriwa.Tuchukue mfano wa kawaida wa kimaisha... Kikawaida, kila mtu ni lazima katika siku moja anao…

Ratli/ Ratili ni nini katika biblia?

Ratili ni kipimo cha uzito kilichotumika enzi za kale..chenye uzito sawa na Gramu 500 hivi. Karibia na nusu kilo. Neno hilo utalisoma katika vifungu hivi kwenye biblia.. Yohana 19:39 Akaenda…

Mtima ni nini kibiblia?.

“Mtima” ni neno linalowakilisha aidha “nafsi ya mtu” au “roho ya mtu” Hivyo mtu anayeugua rohoni, ni sawa na kusema “anaugua katika mtima wake”.. kadhalika mtu aliyeumizwa nafsini mwake ni…

UMEDI NA UAJEMI ZILITAWALAJE?

Katika biblia tunaona kama Umedi na Uajemi zikitajwa kwa pamoja, kana kwamba ni Taifa moja, ingawa ni falme mbili tofauti, sasa zilitawalaje? Umedi na Uajemi Ni utawala mmoja ulioundwa na…

VITABU VYA BIBLIA: Sehemu ya 12 (Kitabu cha Isaya)

Jina la Bwana YESU Kristo libarikiwe, karibu katika mwendelezo wa uchambuzi wa vitabu vya biblia, Tumekwisha kuvitazama vitabu kadhaa nyuma, na leo kwa neema za Bwana tutapiga hatua moja mbele,…

NI NANI ATAKAYEWAPA ILIYO YENU WENYEWE?

Nakusalimu katika jina kuu sana la Bwana wetu Yesu Kristo, karibu tujifunze maneno ya uzima. Ulishawahi kuutafakari kwa ukaribu huu mstari ambao Bwana Yesu aliusema katika.. Luka 16:12 “Na kama…

LITURJIA NI NINI? NA JE IPO KIMAANDIKO?.

Liturjia/Litrujia ni mwongozo wa jinsi ya kufanya ibada unaotumiwa na makanisa mengi. Ibada inaundwa na vitu vikuu vitano, ambavyo ni Maombi, Neno, Matoleo, Sifa, na Meza ya Bwana. Vitu hivi…

Furaha ni nini?

Furaha kwa tafsiri ya kawaida, ni muhemko chanya wa kihisia unaotakana na aidha kuridhishwa na jambo fulani au kupata kitu fulani. Kwa mfano katika biblia Wale mamajusi walipoina tena ile…

Kuwaogopa wanadamu huleta mtego,(Mithali 29:25)

Kuwaogopa wanadamu huleta mtego,(Mithali 29:25)