DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

VICHEKESHO NA UTANI MADHABAHUNI

Je madhabahu ni sehemu ya kufanyia mizaha, utani, vichekesho au vituko?.. Zaburi Sura ya kwanza kabisa na mstari wa kwanza unasema... " Heri mtu yule asiyekwenda katika shauri la wasio…

KWANINI WENGINE WANYAKULIWE,NA WENGINE WAACHWE?

Ni kwasababu ile ile kwanini Henoko alitwaliwa, na wengine wakabaki, Na Eliya alinyakuliwa na wengine wakabaki. Mungu aliruhusu kwa makusudi kabisa watu hawa wawe mfano wa mambo hayo ili kutupa…

JE! UNAYATUNZA MAVAZI YAKO?

Ufunuo 16:15 “(Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.)” Vazi ni kitu kinachositiri mwili…Mwili ukikosa mavazi unakuwa tupu/uchi. Na ni…

Je! Ni kweli ubatizo wa maji hatuuhitaji tena?

SWALI: Naomba kufahamu Je! Ni kweli ubatizo wa maji hatuuhitaji tena, tunaopaswa tuwe nao ni ule wa Roho Mtakatifu tu peke yake kama vile Yohana Mbatizaji alivyosema katika Mathayo 3:11…

NINI KINAFUATA SIKU ILE ILE YA KUOKOKA!

Ni nini kinafuata siku ile ya kuokoka!? Ni swali linaloulizwa na wengi... Shalom.Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe…Karibu tujifunze Biblia, Neno la Mungu ambalo ni mwanga wa njia zetu…

USIMPE NGUVU SHETANI.

Biblia inatuonyesha yapo majaribio matatu ambayo shetani atajaribu kuyafanya ili kuupandikiza ufalme wake. Jaribio la kwanza ni lile alilolifanya mbinguni, lakini akashindwa, pale alipopigwa na akina Mikaeli pamoja na malaika…

NINI MAANA YA SISI KUWA WATOTO WA MUNGU?

SWALI: Je Mungu anazaa?..Kama hazai kwanini sisi tunaitwa Watoto wa Mungu?..Je! Mungu ana mke?..na kama hana huoni kama ni kukufuru kusema kuwa sisi ni Watoto wa Mungu? JIBU: Swali hili…

MAONO YA NABII AMOSI.

Shalom mwana wa Mungu, karibu tujifunze tena maneno ya uzima. Amosi 3:7 “Hakika Bwana MUNGU hatafanya neno lo lote, bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake”. Maneno haya aliyaandika nabii…

Kwanini wanawake wengi huwa wanalipuka mapepo?

SWALI: Naomba kufahamu ni kwa nini katika mikutano mingi ya injili na sehemu za makusanyiko kama mashuleni na sehemu zingine Wanawake ndio hupatwa sana na kusumbuliwa na mapepo? JIBU: Sababu…

WANA WA MUNGU, NA BINTI ZA WANADAMU.

Wana wa mungu, na binti za wanadamu,ni wakina nani leo hii? Biblia inaposema kama ilivyokuwa katika siku za Nuhu, Ndivyo itakavyokuwa katika siku za kuja kwake mwana wa Adamu (Luka…