DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

MAANA WEWE, BWANA HUKUWAACHA WAKUTAFUTAO”.

Zaburi 9:10 “Nao wakujuao jina lako wakutumaini Wewe, Maana Wewe, Bwana hukuwaacha wakutafutao”. Shalom, tuzidi kujikumbusha kuwa.. Mungu anapenda sana watu wanaomtafuta, anapenda watu wanaoonyesha Nia ya dhati katika kumjua…

 Nini maana ya “Uchungu wa mauti ni dhambi, na nguvu za dhambi ni torati”

SWALI:  Nini maana ya “Uchungu wa mauti ni dhambi, na nguvu za dhambi ni torati” (1 Wakorinto:15:56)?. JIBU: Pale Adamu alipoasi katika bustani ya Edeni, alipewa mapigo mawili makubwa…la kwanza…

Shokoa ni nini katika biblia?

Kama ni msomaji wa biblia utakuwa umekatana na hili neno sehemu nyingi.. Shokoa ni kiswahili cha zamani chenye maana ya “Vibarua”. Hususani wale waliotekwa na kulazimishwa kufanya kazi kwa nguvu.…

NI KWA NAMNA GANI ROHO HUTUTAMANI KIASI CHA KUONA WIVU?

Shalom. Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze maandiko. Yapo mambo kadhaa ya kujikumbusha pale tunapokuwa wakristo. Ni lazima tujue kuwa Tunaposema tumeokoka, maana yake ni kuwa  tunakuwa…

NAWAAMBIA MAPEMA!

Jina la Bwana wetu Yesu, libarikiwe. Yapo mambo mengi ambayo yatawafanya wanadamu wengi wasiurithi uzima wa milele siku ile. Wakidhani wapo sawa na Mungu, na kwamba wanampendeza Mungu lakini itakuwa…

Neno “Via” linamaanisha nini katika biblia?

Kibiblia via ni viungo vya mwili wa mwanadamu au mnyama,, husasani  mikono au miguu. Hivi ni baadhi ya vifungu vinavyolitaja Neno hilo; Ayubu 17: 7 “Jicho langu nalo limekuwa giza…

WAENDEE WANA WA ISAKARI, UWE SALAMA.

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe, nakukaribisha katika kuyatafakari maneno ya uzima, na leo tena kwa neema za Bwana tutajikumbusha juu ya mambo ya msingi ya kuzingatia siku hizi…

Nyungu ni nini kibiblia?(Ayubu 41:20,31, Waamuzi 6:19)

Nyungu ni nini? Nyungu ni nini kibiblia?(Ayubu 41:20,31, Waamuzi 6:19) Nyungu ndio  Chungu kwa jina lingine, kibiblia kilitumika kuchemshia maji, nyama, nafaka, mboga mboga n..k Unaweza kulisoma Neno hili katika…

Kulabu ni nini katika biblia?(2Wafalme 19:27)

Kulabu ni nini katika biblia? Kulabu ni aina ya ndoano, tofauti na ile ya kuvulia samaki hii ni ile inayotumiwa kushikilia vitu, kama vile mapazia, mashuka, nguo n.k., tazama picha…

Ni vitu vipi hivyo viwili visivyoweza kubadilika? (Ebr 6:18)

SWALI: Naomba kuuliza, huu mstari una maana gani? "..VITU VIWILI visivyoweza kubadilika ambavyo kwa hivyo Mungu hawezi kusema uongo"?! (Waebrania 6:18). JIBU: Shalom.. Tusome… Waebrania 6:17  "Katika neno hilo Mungu,…