DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

WEWE U MUNGU UONAYE.

Mafundisho maalumu kwa ajili ya waajiriwa: Sehemu 1 "Wewe U Mungu uonaye" Kwa kuwa tupo katika huu ulimwengu, na hivyo Bwana ametuagiza tufanye kazi za mikono (kwa sisi ambao hatuna…

USIIKARIBIE DHAMBI, KAA NAYO MBALI.

Je unajua kwamba kuikaribia dhambi ni “DHAMBI”, Hata tu kabla ya kuifanya?. Mungu hakumpa tu Adamu maagizo ya kutokula yale matunda ya mti wa katikati…bali  pia alimwambia “Asiyaguse yale matunda”..asije…

Kuna tofauti gani kati ya  “Edeni” na “Adeni”?

Nini tofauti kati ya Bustani ya Edeni (Mwanzo 2:8) na bustani ya Adeni (Ezekieli 28:13 na  Yoeli 2:3) Jibu:Tusome Mwanzo 2:8 “Bwana Mungu akapanda bustani upande wa mashariki wa EDENI,…

Mwanazuoni ni mtu gani kibiblia?

Mwanazuoni ni mtu aliyejikita katika utafiti au usomi wa ndani katika tasnia Fulani, lengo lake likiwa ni kupata uvumbuzi wa yale magumu yenye utata au yaliyojificha.. Hivyo mwanazuoni wa biblia…

KWANINI DANI ALIKAA KATIKA MERIKEBU.

Wakati ambapo Israeli inapitia manyanyaso makali kutoka kwa wakaanani kwa miaka 20, mpaka yakawafanya wamlilie Mungu kwa nguvu ili awaokoe..Tunasoma kwenye biblia Mungu alisikia kilio chao akawanyanyulia mwamuzi Debora pamoja…

MIEZI 13 YA KIYAHUDI.

Tofauti na Kalenda ya Kirumi ambayo ndiyo tunayoitumia sasa yenye miezi 12, Kalenda ya kiyahudi yenyewe inakuwa na miezi 13 kwa mara saba kila baada ya miaka 19. (Yaani katika…

AKAKIVUNJA KIBWETA AKAIMIMINA KICHWANI PAKE.

Yesu alipokuwa nyumbani kwa Yule Simoni mkoma, alitokea mwanamke mmoja na kufanya jambo ambalo lilizua malalamika mengi sana kwa wale waliokuwa pale, kama tunavyoifahamu habari, mwanamke Yule alikuwa na kibweta…

MIGAWANYO MINNE (4), YA HUDUMA YA YESU.

1.) DUNIANI (miaka 33 na nusu) 2) KUZIMU (Siku tatu) 3) MBINGUNI (Miaka elfu mbili na …) 4) DUNIANI TENA (Miaka 1000) Ni vema tukaifahamu hii migawanyo kwa kina ili…

Kukaramkia ni kufanya nini? (2Wakorintho 7:2)

Swali: Kukaramkia ni nini? Jibu: Tusome, 2Wakorintho 7:2  “Tupeni nafasi mioyoni mwenu. Hatukumdhulumu mtu ye yote, wala kumharibu mtu, wala kumkaramkia mtu. 3  Sisemi neno hilo ili niwahukumu ninyi kuwa…

NAFASI YAKO WEWE MAMA KWA MTOTO NA WAJUKUU WAKO NI IPI?.

Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu, lihimidiwe.. karibu tujifunze biblia.. Neno la Mungu linasema.. Mithali 22:6 “Mlee mtoto katika njia impasayo, Naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee” Faida ya kumlea…