DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

MIMI NI ALFA NA OMEGA.

Mara nyingi Bwana Yesu amekuwa akijitambulisha kwa majina mbalimbali, kwa mfano ukisoma Ufunuo 19:13 inasema jina lake anaitwa Neno la Mungu.. Hii ikiwa na maana popote palipo na Neno la…

Agano ni nini? na kuna aina ngapi za maagano?

Agano ni makubaliano kati ya pande mbili; Na kuna aina saba (7) za maagano kibiblia. 1)Agano kati ya “MTU NA MTU”, 2) kati ya “MTU NA KITU”, 3) kati ya…

ITII SAUTI ILIYOPO NYUMA YA KILA ISHARA YA MUNGU!

Shalom, karibu tujifunze maandiko. Kila ishara inayo sauti nyuma yake..Kwa mfano “tunapoona ishara ya mawingu kuwa meusi”..ujumbe au sauti uliopo nyuma ya hiyo ishara ni kwamba “muda si mrefu mvua…

“Nitampiga mchungaji na kondoo wa kundi watatawanyika”,Maana yake nini?

Nini maana ya “Nitampiga mchungaji, na kondoo wa kundi watatawanyika”. Kwanini Bwana Yesu apigwe? Na kwanini kondoo wake watawanyike!... Na je! Anayempiga ni nani?. Tusome, Mathayo 26:31 “Ndipo Yesu akawaambia,…

JINSI YA KUISHINDA DHAMBI INAYONITESA.

SWALI: Shalom. Naomba kufahamu nifanye nini ili niweze kuishinda ile dhambi inayonitesa.? JIBU: Dhambi inayomtesa mtu kwa jina lingine inaitwa “dhambi izingayo kwa upesi”, ambayo tunaisoma katika; Waebrania 12:1 Basi…

MWANAMKE, USIFUNGUE MLANGO WA MAPEPO KUKUINGIA!.

Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze Biblia. Je!, wewe ni Mwanamke?..kama ndio! basi fahamu kuwa upo katika hatari kubwa ya kuingiwa na roho za mapepo kuliko mwanaume!. Hebu…

USIOGOPE KUMWADHIBU MWANAO.

Tunaishi katika ulimwengu ambao, maadili yameporomoka sana, na bado yanaendelea kuporomoka kwa vijana na watoto..Na hiyo inatufanya tuelekeze lawama kwa watoto; tukisema watoto wa siku hizi wamebadilika sana, lakini ukweli…

JE! NINAWEZA KUPOTEZA FURAHA YA WOKOVU?

Wokovu na furaha ya wokovu ni vitu vinavyokwenda sambamba, palipo na wokovu ni lazima na furaha ya wokovu pia iwepo, vikipishana kidogo, basi ni tatizo kubwa sana ni sawa na…

USINIONDOLEE ROHO WAKO MTAKATIFU.

Swali: Je! Roho Mtakatifu anaweza kuondoka juu ya Mtu?.Kulingana na Zaburi 51:11? Tusome, Zaburi 51:11 "Usinitenge na uso wako, Wala Roho yako mtakatifu usiniondolee". Jibu rahisi la swali hili ni…

Watu wenye kuvunja maagano ndio watu wa namna gani? (Warumi 1:31)

Napenda kujua watu wenye kuvunja maagano wanaozungumziwa katika Warumi 1:31, ndio watu wa namna gani? Jibu: Tusome kuanzia mstari wa 28, ili tuweze kuelewa vizuri.. Warumi 1:28 "Na kama walivyokataa…