DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

HAPANA MFUPA WAKE UTAKAOVUNJWA.

Nakusalimu katika jina lipitalo majina yote la Bwana wetu Yesu Kristo. Karibu tena tujifunze maneno ya uzima.. Wakati ule wanamsulibisha Bwana Yesu, walipoona jua linakaribia kuchwa na waliowasulibisha bado hawajafa,…

Mintarafu ni nini?

Maana ya neno “Mintarafu” ni “kuhusiana na”. Kwamfano ukitaka kutamka sentesi hii >> “sifahamu chochote kuhusiana na ujio wa pili wa Kristo” …. unaweza kusema... “Sifahamu chochote mintarafu ujio wa…

YEYE ALIYEUWASHA HUO MOTO LAZIMA ATALIPA.

SWALI: Naomba kufahamu ufunuo wa mstari huu ni upi? Kutoka 22:6 “Ukiwaka moto, na kushika penye miiba, na ngano zilizofungwa miganda, au ngano ambazo hazijakatwa, au shamba, likateketea; yeye aliyeuwasha…

MTAWATUPIA MBWA NYAMA HIYO.

Kutoka 22:31 “Nanyi mtakuwa watu watakatifu kwangu mimi; kwa hiyo msiile nyama yo yote iliyoraruliwa huko kondeni na mnyama wa mwitu; mtawatupia mbwa nyama hiyo”. Shalom, Katika agano la kale…

saa yaja atakapodhania kila mtu awauaye ya kuwa anamtolea Mungu ibada

SWALI: Nini maana ya “saa yaja atakapodhania kila mtu awauaye ya kuwa anamtolea Mungu ibada?" Jibu: Unabii huo Bwana Yesu aliutoa kwa wanafunzi wake, pamoja na wote ambao watakuja kumwamini…

LIPI TUNAJIFUNZA KWA WALIOMWONA YESU ALIYEFUFUKA?

Shalom, Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe daima. Siku ya leo, dunia inaadhimisha tukio kuu lililotokea takribani miaka 2000 iliyopita, Na tukio lenyewe ni lile la kufufuka kwa Bwana…

USIISHI KWA NDOTO!

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe, nakukaribisha katika kuyatafakari maandiko. Leo tutajifunza mbinu nyingine ambayo adui shetani anaitumia kuwapunguzia watu kasi ya kumtafuta Mungu. Ni wazi kuwa kila mtu…

SHETANI ANAPOKUINGIA, ANATIA MOYO MGENI NDANI YAKO.

Nakusalimu katika jina kuu la Bwana wetu Yesu Kristo, karibu tuyatafakari maneno ya uzima, ambayo ndio chakula cha kweli kutupacho afya roho zetu. Lipo jambo moja nataka tujifunze leo linalohusiana…

Nini maana ya “Mwenye hekima huvuta roho za watu”

SWALI: Biblia ina maana gani inaposema “Mwenye hekima huvuta roho za watu”? JIBU: Tusome. Mthali 11:30 “Mazao ya mwenye haki ni mti wa uzima; Na mwenye hekima huvuta roho za…

MATESO YA KUZIMU.

Je kuna uthibitisho wowote wa kimaandiko kwamba kutakuwa na mateso baada ya kifo kwa wale watakaokufa katika dhambi?. Jibu ni ndio.. Tusome, Luka 16:22 “Ikawa yule maskini alikufa, akachukuliwa na…