DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

JE ! BWANA YESU ALIKUJA DUNIANI KUAMUA NINI?

Siku moja nilimsikia mtumishi mmoja redioni akifundisha na kusema asilimia 60 ya mafundisho ya YESU yaliegemea katika fedha, na hivyo YESU alikuja hapa duniani ili sisi tujue kanuni za kufanikiwa…

UMEPATANISHWA NA MAADUI ZAKO?

Je unawajua Wasamaria walikuwa ni watu gani?...Wasamari ni watu wanaotokea mahali panapoitwa SAMARIA, ulikuwa ni mji uliokuwepo katikati ya Taifa la Israeli. Zamani za wafalme Israeli ilipogawanyika sehemu mbili, yaani…

BARAGUMU NI NINI?

Baragumu ni nini/ Nini maana ya Baragumu. Baragumu kwa lugha rahisi tunaweza kusema ni "Tarumbeta" au "Parapanda" au Mbiu!..Matarumbeta au Mabaragumu yalikuwepo ya aina nyingi kulingana na Nyakati. Nyakati za…

NINI MAANA YA UCHAWI?

JIBU: Katika ukristo kitendo chochote cha kutafuta msaada wa rohoni au mwilini kwa kupitia nguvu nyingine mbali na nguvu za Mungu, biblia inakiita Uchawi,…Na ni wazi kuwa hakuna nguvu nyingine…

Biblia inamaanisha nini kusema Yeye aliye na sikio, na asikie?

SWALI: Tukisoma Ufunuo 2:17 inasema “Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa”..Ningependa kufahamu Sentensi hiyo ina maana gani? kwanini liwe sikio?. JIBU: Kwasababu kuna uwezekano…

NINI KINATOKEA BAADA YA KIFO?

MTU ANAPOKUFA ANAENDA WAPI? Ikiwa imetokea umekufa ghafla, muda huo huo utawaona malaika wa Mungu wamesimama pembezoni mwako, ili kukuchukua na kukupeleka mahali panapokustahili, Sasa ikiwa wewe ni mtakatifu (Yaani…

HATARI YA KUHUBIRI INJILI TOFAUTI NA ILIYOANDIKWA KWENYE BIBLIA.

Shalom! Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe daima! Karibu tujifunze Biblia, kwa Neema Bwana aliyotupa. Biblia inasema katika Wagalatia 1:7b “…. lakini wapo watu wawataabishao na kutaka kuigeuza injili…

MAKERUBI NI NINI?

Kerubi au Makerubi ni Malaika wa Mungu,..Moja ya makundi ya malaika walioko mbinguni ambao kazi yao hasaa ni kuilinda enzi ya Mungu, na kumtukuza..Shetani naye alikuwa ni kerubi kabla hajaasi,…

AMANI YA BWANA /AMANI YA MUNGU.

Amani ya Bwana Ni nguzo ya Muhimu sana katika kumwongoza Mkristo. Moja ya njia Mungu anazotumia kuzungumza na Mtu ni kwa kupitia amani... AMANI INA SAUTI: Inazungumza, Ni kama mtu…

KUWA MAKINI NA MITANDAO, NI SHIMO REFU.

Waefeso 5.12 “kwa kuwa yanayotendeka kwao kwa siri, ni aibu hata kuyanena”. Zamani ilikuwa ni rahisi kumtambua mtu mwenye dhambi kwa kumtazama tu au kumwangalia mienendo yake kwasababu karibu kila…