Hizi ni baadhi ya njia zitakazokusaidia kuuharibu ujana wako kwa wepesi. Pendelea makundi yasiyojenga. Wahuni ni ndio wawe marafiki zako, wazinzi ndio wawe kampani yako, walevi ndio wawe watu wa…
Mkate na divai melkizedeki
Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe, Leo tutajifunza jinsi ya kuuvuta uwepo wa Roho Mtakatifu karibu nasi. Yapo mambo makuu matatu yanayovuta uwepo wa Mungu karibu nasi.…
Tusome, Warumi 1:25 “Kwa maana waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, wakakisujudia kiumbe na kukiabudu badala ya Muumba anayehimidiwa milele. Amina”. Kiumbe ni kitu chochote chenye uhai kilichoumbwa na Mungu.…
Vitimvi ni mipango inayopangwa kwa siri na kikundi cha watu ili kufanya uasi juu ya mtu au watu. Katika biblia Mitume wa Bwana Yesu walifanyiwa vitimvi vingi sana vya kuwaangamiza,…
Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia, chakula cha uzima wa roho zetu. Maandiko yanasema kuwa tunaokolewa kwa Neema na si kwa matendo, Waefeso 2:8 “Kwa maana…
Swali 1: Ni nani aliyemshawishi Daudi kuwahesabu Israeli ni Mungu au shetani?..Maana 2Samweli 24:1 inasema ni Mungu lakini 1Nyakati 21:1 inasema ni shetani. Jibu: Ni shetani ndiye aliyemshawishi Daudi kwa…
Tunguja ni aina ya mmea ambao haupatikani kirahisi, mmea huo una mizizi ambayo inakuwa na umbile kama la mtu. Kutokana na maumbile hayo ya mizizi ya mmea huo, kufanana na…
Je Mungu huwa anajuta?
Neno kupiga kite limeonekana mara kadhaa katika biblia. Maana ya “kupiga Kite” ni kutoa pumzi nje, kuashiria aidha kushangazwa, kupata unafuu au kukata tamaa. Kwamfano mwanafunzi aliyekuwa anasubiria matokeo ya…