DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

WAKAMWACHA BWANA, NA KUITUMIKIA MIUNGU YAO WENYEWE.

Shalom. Karibu tujifunze Biblia… Wana wa Israeli walipomwacha Mungu kwa muda mrefu na kuitumikia miungu mingine migeni.. Mungu aliwatoa katika nchi yao na kuwapeleka katika mataifa ya mbali..Israeli akaipeleka Babeli…

WALE WAZEE ISHIRINI NA WANNE (24), WANA KAZI GANI?

Wale wazee ishirini na wanne na akina nani na kazi yao ni ipi? Kama wengi wetu tunavyofahamu Malaika watakatifu wamesifika kwa kazi moja kuu nayo ni kumsifu Mungu na kumwimbia,…

HAKIKISHA UNALIELEWA NENO.

 Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe..Karibu tujifunze Biblia..Taa iongozayo miguu yetu na mwanga wa njia yetu...Tabia mojawapo ya Mwovu ni kuiba angali vikiwa vidogo..Kuna uhusiano mkubwa sana wa KUSIKIA…

Nifanye nini ili niwe na uhakika nikifa naenda mbinguni?

SWALI: Nifanye nini ili niwe nina uhakika kuwa hata nikifa ghafla leo hii, nina uhakika wa kwenda mbinguni kwa asilimia zote? JIBU: Moja ya swali ambalo ukiwauliza wakristo wengi watakujibu…

SI KILA KIPENDEZACHO KINATOKA KWA BWANA.

Na mkia wake wakokota theluthi ya nyota za mbinguni, na kuziangusha katika nchi. Shalom. Ni siku nyingine tena tumepewa na Bwana. Karibu tujifunze Biblia. Leo tutajifunza njia mojawapo shetani anayotumia…

MIILI YA UTUKUFU ITAKUWAJE?

MIILI YA UTUKUFU ITAKUWAJE?: Bwana Yesu alipofufuka, alifufuka na mwili wa Asili..Na kisha baada ya kufufuka tu, mwili wake ule ukabadilishwa na kuwa wa utukufu. Sasa fahari ya miili ya…

TAZAMA, MWISRAELI KWELI KWELI, HAMNA HILA NDANI YAKE!

Filipo na Nathanaeli, walikuwa ni marafiki wa karibu sana, wote wawili maisha yao yalikuwa ni maisha ya kuifuata dini, wakichunguza habari za Masihi na kuja kwake, Walikuwa ni watu wa…

KILA MTU ATATOA HABARI ZAKE MWENYEWE.

Neno la Mungu linasema katika … Warumi 14:10 “……. Kwa maana sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu. 11 Kwa kuwa imeandikwa, Kama niishivyo, anena Bwana, kila…

HATA NA BARNABA PIA AKACHUKULIWA NA UNAFIKI WAO!!

Tukisoma kitabu cha Matendo ya mitume tunaona kikizungumza habari za matendo ya kishujaa yaliyofanywa na mitume wa Bwana, jinsi walivyofanya bidii kuieneza injili ya Kristo ulimwenguni kote, lakini pamoja na…

MUUNGANIKO WA MADHEHEBU NI MPANGO WA MPINGA-KRISTO.

Shalom, Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze tena maandiko siku ya leo. Kwasababu Neno la Mungu ndio mwanga wa njia zetu na taa iongozayo miguu yetu. Maana…