Umuhimu wa Yesu kwetu, ni mkubwa sana kama tunavyousoma katika kitabu cha .Waefeso 4:13 “hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na KUMFAHAMU SANA MWANA WA MUNGU, hata kuwa…
Tumtolee Mungu vitu vinavyotugharimu hata kuhatarisha maisha...2Samweli 23:15 Daudi akatamani, akasema, Laiti mtu angeninywesha maji ya kisima cha Bethlehemu, kilicho karibu na lango! Shalom, Jina la Bwana Yesu libarikiwe. Ni…
Urimu na thumimu ni nini? Katika Agano la kale Mungu alikuwa akitumia njia kuu tatu aidha kuwasilisha ujumbe au leta majibu au kuthibitisha jambo..Njia ya kwanza ni manabii, njia ya…
Usipokuwa mwaminifu sasa, nafasi yako itachukuliwa na mtu mwingine. Jina la Bwana wetu Yesu Kristo, Mkuu wa Uzima libarikiwe. Karibu tujifunze Biblia Neno la Mungu..Taa iongozayo miguu yetu na mwanga…
Unamalizaje mwaka wako?.Unamtukazaje Mungu katika sikukuu hizi na mwisho wa mwaka wako? Ilikuwa ni Disemba 24, 1964, jaribio la kwanza la wanasayansi la kusafiri kutoka katika obiti (muhimili) wa dunia…
Shalom.Karibu tujifunze Biblia..Neno la Mungu linasema katika 1Timotheo 6:20 “ Ee Timotheo, ilinde hiyo amana; ujiepushe na maneno yasiyo ya dini, yasiyo na maana, na mashindano ya elimu iitwayo elimu…
SWALI: Mstari huu una maana gani? 1Wakorintho 2:15 “Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu”? JIBU: Ukianza kusoma kuanzia ile mstari wa kwanza utaona mtume Paulo,…
Kuota unafanya tendo la ndoa au kuota unafanya mapenzi na mtu usiyemjua maana yake ni nini? Awali ya yote tunapaswa kufahamu kuwa Ndoto yoyote ya zinaa, haitokani na Mungu..Ni aidha…
Ndoa ni nini? Je ndoa za kibinadamu ni zipi na ndoa ya kimbinguni ni ipi? karibu tujifunze masomo ya ndoa na elimu ya ndoa na mafunzo ya ndoa kwa mapana.…
Jiunge na group la Whatsapp, ujifunze biblia na upate Neno la siku kila asubuhi. Pamoja na maswali mengi ya biblia yaliyojibiwa..kwa link hii >>> https://chat.whatsapp.com/FAyJLXo8guQ0iZ0JzQKbXg Madhabahu ni nini?..Je madhabahu ya…