DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

JE KIFO NI NINI? NA JE KUNA AINA NGAPI ZA VIFO?

Je Kifo ni nini? Na kuna aina ngapi za vifo? Kifo ni pale uhai unapoondoka ndani ya  kiumbe hai chenyewe. Kwa ufupi kifo ni Mwisho wa Maisha ya mwilini. Lakini…

KUABUDU SANAMU/IBADA ZA SANAMU.

Kuabudu Sanamu ni nini? Na ibada za sanamu ni zipi? Kuabudu sanamu: Katika  agano la kale ni kitendo chochote cha kwenda kuabudu au kusujudia, au kutumika kitu kingine chochote, tofauti…

Ni watu gani hao ambao mahali pao hapakuonekana?

Ni watu gani hao ambao mahali pao hapakuonekana? (Ufunuo 20:11) JIBU: Tusome.. Ufunuo 20:11 “Kisha nikaona kiti cha enzi, kikubwa, cheupe, na yeye aketiye juu yake; ambaye nchi na mbingu…

USINIPITE MWOKOZI Lyrics

Usinipite mwokozi Lyrics| Swahili, - "Pass me not, O Gentle Savior" Historia ya nyimbo Usinipite mwokozi. Wimbo huu uliandikwa mwaka 1868, na mwanamke wa kimarekani aliyeitwa Fanny Crosby. Mwanamke huyu…

NI SALAMA ROHONI MWANGU Lyrics

Ni salama rohoni mwangu lyrics- It is well with my soul. Nyimbo hii ilitungwa na mwanasheria mmoja mkristo aliyeitwa Horatio Spafford, alitunga wimbo huu kutokana na mambo mazito aliyoyapitia katika…

Mungu aliposema Yesu ni mwanawe pekee, alimaanisha hakuwa na wengine?

SWALI: Mungu aliposema Yesu ni mwanawe pekee, Je! Ina maana hakuwa na wana wengine au hana wana wengine zaidi yake? JIBU: Tusome.. Yohana 3:16 “Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda…

BWANA MUNGU NASHANGAA KABISA lyrics

BWANA MUNGU NASHANGAA KABİSA lyrics ~Swahili  (How Great Thou Art). Toleo la kwanza kabisa la Wimbo huu liliandikwa na mtu mmoja raia wa Sweden, aliyeitwa Carl Boberg wimbo huu aliuandika…

POPOBAWA NI KWELI YUPO?

Karibu tuongeze maarifa ya rohoni. Yapo maswali machache ya kujiuliza ambayo yanaendelea katika jamii yetu..maswali hayo ni je! popobawa ni nani? Na je popobawa ni kweli yupo?.. Popobawa kulingana na…

CHA KUTUMAINI SINA lyrics

CHA KUTUMAINI SINA, Swahili Lyrics. (My hope is built on nothing less) Tenzi hii iliandikwa na mchungaji wa kanisa la kipatisti, aliyeitwa Edward Mote, raia wa nchi ya uingereza, mnamo…

WEWE NI BWANA UNIPONYAYE.

SALA FUPI YA UPONYAJI! Zaburi 107:17 "Wapumbavu, kwa sababu ya ukosaji wao, Na kwa sababu ya maovu yao, hujitesa. 18 Nafsi zao zachukia kila namna ya chakula, Wameyakaribia malango ya…