DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

TAFUTA KUMJUA MUNGU ZAIDI YA SHETANI

Jina kuu la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze Neno la Mungu…Taa iongozayo miguu yetu na Mwanga wa njia zetu (Zab.119:105). Karibia kila tukio linalotokea duniani baya au jema huwa…

KWANINI YESU ALIMUITA BABA YAKE “ABA”?

Hili Neno Aba kwa mara ya kwanza katika biblia lilisikika likitamkwa na Bwana wetu Yesu, Hili ni Neno la Kiaremi(Aramiac), moja ya lugha ambayo Bwana Yesu alionekana akiizungumza mara kwa…

UMEITIKIA WITO INAVYOPASWA?

Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze Biblia, Neno la Mungu, Taa ya miguu yetu na mwanga wa njia zetu. Moja ya masomo mapana sana ni ‘Namna ya kusikia…

MFALME ANAKUJA.

Watu wengi wanadhani makao ya watakatifu yatakuwa ni mbinguni milele, yani siku ile ya mwisho dunia itakunjwa kunjwa na kutupwa motoni, halafu sisi tutakwenda kuishi na Mungu mbinguni milele, Ni…

MFALME ANAKUJA.

Watu wengi wanadhani makao ya watakatifu yatakuwa ni mbinguni milele, yani siku ile ya mwisho dunia itakunjwa kunjwa na kutupwa motoni, halafu sisi tutakwenda kuishi na Mungu mbinguni milele, Ni…

SHUKURU KWA KILA JAMBO.

Shalom, mtu wa Mungu karibu tujifunze Neno la Mungu, Taa iongozayo miguu yetu..na mwangaza wa njia zetu… Leo tutajifunza juu ya Kumshukuru Mungu kwa kila jambo… Kwanini tunapaswa tumshukuru Mungu…

DHAMBI ZINAZOTANGULIA NA ZINAZOFUATA.

Biblia inatueleza kuwa kuna aina mbili za dhambi, zipo dhambi zinazomtangulia mtu kwenda hukumuni na zipo dhambi zinazomfuata mtu hukumuni. Na leo tutaona hizi dhambi ni zipi: 1Timotheo 5:24 ‘Dhambi za…

LILE TUMAINI LILILO NDANI YETU LINAPOULIZIWA.

Jina la mwokozi wetu YESU KRISTO lisifiwe daima, Nakukaribisha ndugu mpendwa tujifunze maandiko, Leo tutangazia kwa sehemu kitabu cha waraka wa kwanza wa Petro tutaona Neno kuu la msingi ambalo mtume Petro…

MPENDE JIRANI YAKO KAMA NAFSI YAKO.

Luka 10: 25 “Na tazama, mwana-sheria mmoja alisimama amjaribu; akisema, Mwalimu, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele? 26 Akamwambia, Imeandikwa nini katika torati? Wasomaje? 27 Akajibu akasema, Mpende Bwana Mungu wako kwa…