DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

BWANA AYAGANGE NA MACHO YETU PIA.

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tulitafakari Neno la Mungu pamoja, kwani ndicho chakula pekee kinachoweza kuziponya roho zetu kabisa kabisa. Lipo swali tunaweza kujiuliza ni kwanini kuna…

Fadhili ni nini? Nini maana ya “fadhili zake ni za milele” kibiblia?

Biblia inapozungumza juu ya fadhili za Mungu, ni zaidi ya zile fadhili ambazo tunazojua  ambazo mtu anaweza kuzifanya kwa mtu mwingine, yaani kumuonyesha ukarimu na wema.. Kibiblia Fadhili za Mungu…

Kikuku/vikuku ni nini katika biblia?

Vikuku ni vitu mfano wa bangili ambavyo vinavaliwa aidha mikononi au miguuni, kwa lengo la urembo. Tazama picha juu. Katika enzi za zamani vikuku vilivaliwa na jinsia zote, yaani wanaume…

NJIA YA KUPATA WOKOVU.

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe, Ni neema tumeiona tena siku ya leo, hivyo nakukaribisha katika kuyatafakari Maneno ya uzima wa roho zetu. Leo tutajifunza jinsi wokovu unavyopatikana.. Tunapozungumzia…

Maashera na Maashtorethi ni nini?

Ashera au kwa jina lingine anajulikana kama Ashtorethi, Ni mungu-mke wa kipagani ambaye alikuwa anabudiwa katika nchi ya wakaanani, Waashuru na mataifa mengine ya kando kando pale mashariki ya kati..…

MTEGO HUTEGWA BURE, MBELE YA MACHO YA NDEGE YE YOTE.

Shalom, karibu tujifunze maneno ya uzima.. Lipo swali ambalo linaulizwa na watu wengi, kwamba kama Mungu anajua kuna jambo litakwenda kutokea mbeleni ambalo litanisababishia mauti, kwanini basi asinizuie kwenda kulifanya…

UFUNUO NI NINI, NA NITAPOKEAJE UFUNUO KUTOKA KWA MUNGU?

Ufunuo ni kitu kilichofunuliwa.. Maana yake ni kwamba kilikuwa kimefichika/kimefichwa  sasa kimefunuliwa. Tunaposoma maandiko na kupata kitu kipya ambacho hatukuwa tunakijua hapo kwanza, hapo ni sawa na hicho kitu kimefunuliwa…

Uga ni nini? Na kazi yake ni ipi kibiblia?

Uga ni sakafu ya kupuria/kupepetea nafaka iliyotumika zamani. Ikumbukwe kuwa zamani, hawakuwa na mashine za kupuria kama tulizonazo sasahivi baadhi ya sehemu, ilikuwa nafaka ikishatolea shambani, na majani yake, ilipelekwa…

Bwana Yesu alikufa akiwa na umri gani?

Biblia inatuonyesha Bwana Yesu alianza huduma yake akiwa na umri wa miaka kama 30. Luka 3:23. Sasa ili tujue alikufa na umri gani, ni vizuri kwanza tukajua urefu wa huduma…

Hisopu/ Hisopo ni nini katika biblia?(Zaburi 51:7)

Hisopo au Hisopu ni jamii ya mmea, ambao ulitumiwa zamani na wana wa Israeli kwa matumizi mbalimbali. Tazama picha ya mmea wenyewe juu. Lakini mmea huu sana sana ulitumiwa kwa…