DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

MKUU WA UZIMA AKUWEKE HURU.

Bwana Yesu ndiye Mkuu wa Uzima (Matendo 3:15) Kwasababu alitabiriwa kuwa atakuwa Mkuu Zaidi ya wote..(Luka 1:15)..Na kwasababu hiyo basi Mungu alimpaka Mafuta ya Ukuu kuliko wote (Waebrania 1:9)..na uweza…

Je! Mtume Paulo alikuwa ni Mrumi, Myahudi au raia wa Tarso?

Je! Mtume Paulo alikuwa ni Mrumi, myahudi au raia wa Tarso? Nachanganyikiwa kusoma pale Paulo anajitaja kama raia wa Rumi tena wa kuzaliwa wakati yeye ni myahudi?... JIBU: Tukisoma katika…

UTASIMAMA PEKE YAKO SIKU ILE.

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe..karibu tujifunze mambo ya msingi katika safari ya haya maisha ya hapa duniani..biblia inasema dunia inapita, pamoja na tamaa zake zote, (1Yohana 2:17). Na…

KAMA MMOJA TU NDIO HIVI! SI ZAIDI 153?

Jina la Bwana wetu Yesu yeye atupendae upeo libarikiwe daima. Nakukaribisha katika kuyatafakari maandiko kama vile tulivyopewa maagizo kwenye biblia kwamba tunapaswa tumjue yeye sana mpaka tufikia kimo cha cheo…

USIFIKIRI FIKIRI.

Udhaifu shetani anaoupenda kwa mtu ni kufikiri fikiri…Tabia ya kufikiri fikiri inasababisha kupoteza ujasiri, na hata Imani…Kwamfano ukitaka kwenda kukutana na mtu, ukianza kutumia muda mrefu kufikiri fikiri itakuwaje utakapokutana…

UFALME WAKO UJE.

Shalom, Bwana Yesu alituambia tusalipo tuseme hivi.. Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe, UFALME WAKO UJE,.. Ni kweli, tunajua kuwa siku moja ufalme wake utakuja duniani..Lakini upande wa pili…

Nitaitofautishaje sauti ya Malaika na ya Roho Mtakatifu?

JIBU: Mungu anaweza kuzungumza na mtu moja kwa moja, au akatumia malaika wake kumpa mtu ujumbe au akamtumia mwanadamu…na mara chache sana anaweza kutumia hata wanyama (Hesabu 22:30). Au vitu…

Je! Ni ipi tarehe sahihi Evil-merodaki alimtoa Yekonia gerezani?

SWALI: Je! Siku ipi ambayo Mfalme wa Babeli alimtoa vifungoni mfalme wa Israeli(Yekonia/Yehoyakini). Je! Ni ile tarehe 25 ambayo tunaisoma kwenye Yeremia, au ile ya tarehe 27 tunayoisoma kwenye kitabu…

CHOCHOTE UMFANYIACHO KRISTO KINA THAMANI.

Shalom, karibu tujifunze maandiko. Katika maisha kumbuka kumtolea Mungu, kamwe usilisahau jambo hilo, uwe ni mchungaji, mwalimu, nabii, au muumini wa kawaida au yeyote Yule...maadamu tayari umeshamkabidhi Yesu maisha yako,…

HAPO NDIPO WATU WALIPOANZA KULIITIA JINA LA BWANA.

Shalom, Ni siku nyingine tena Bwana ametukirimia kuiona kwa neema zake nyingi, Hivyo nakukaribisha tuyatafakari kwa pamoja maneno makuu ya Mungu wetu maadamu siku ile inakaribia. Leo tutakitazama tena kitabu…