DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Usimwache rafiki yako mwenyewe, wala rafiki ya baba yako.

SWALI: Mstari huu una maana gani? Mithali 27:10 “Usimwache rafiki yako mwenyewe, wala rafiki ya baba yako, Wala usiende nyumbani mwa ndugu yako siku ya msiba wako. Afadhali jirani aliye…

Je! Umeona asali? Kula kadiri ya kukutosha;

SWALI: Kwanini Biblia inakataza kula asali nyingi, nini maana ya mstari huu kiroho? Mithali 25:16 “Je! Umeona asali? Kula kadiri ya kukutosha; Usije ukashiba na kuitapika”. Pia sehemu nyingine inasema..…

MAJARIBU 10 WANA WA ISRAELI WALIYOMJARIBU MUNGU.

Hesabu 14:22 “kwa sababu watu hawa wote, ambao wameuona utukufu wangu na ishara zangu, nilizozitenda huko Misri, na huko jangwani, pamoja na haya WAMENIJARIBU MARA HIZI KUMI, wala hawakuisikiza sauti…

Wapelelezi wa uhuru wa wakristo ni watu gani (Wagalatia 2:4)?

Jibu: Tuanzie kusoma ule mstari wa 3 Wagalatia 2:3 “Lakini Tito aliyekuwa pamoja nami, naye ni Myunani, hakulazimishwa kutahiriwa. 4  BALI KWA AJILI YA NDUGU ZA UONGO WALIOINGIZWA KWA SIRI;…

Kama Kristo alizichukua dhambi zetu na kutusamehe kwanini kila siku tunatubu?.

Jibu: Ni kweli Kristo alizichukua dhambi zetu kama biblia inavyosema katika kitabu cha Petro.. 1Petro 2:24 “Yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti, tukiwa wafu kwa…

KAMA MKRISTO EPUKE KUENDEKEZA BAADHI YA DHAMBI

Wewe umemwaga damu nyingi, Kuna wakati Daudi aliingiwa na wazo la kumjengea Mungu nyumba, hivyo wazo hilo likawa jema sana machoni pa Mungu, likamfurahisha sana Bwana mpaka akamwahidia Baraka tele…

Je Ni kweli haturuhusiwi kula nyama kulingana na Isaya 66:3?

Jibu: Tusome, Isaya 66:3 “Yeye achinjaye ng’ombe ni kama yeye amwuaye mtu; na yeye atoaye dhabihu ya mwana-kondoo ni kama yeye avunjaye shingo ya mbwa; na yeye atoaye matoleo ni…

UPEPO WA KUSI HULETA MVUA;

SWALI: Nini maana ya huu mstari? Mithali 25:23 Upepo wa kusi huleta mvua; Vile vile asingiziaye huleta uso wa ghadhabu. JIBU: Maandiko yanasema Upepo wa kusi huleta mvua, hapo hasemi…

Mithali 24:17 inamaana gani kusema Tengeneza kazi yako huko nje?

SWALI: Naomba nieleweshwe maana ya huu mstari Mithali 24:27 Tengeneza kazi yako huko nje, Jifanyizie kazi yako tayari shambani, Ukiisha, jenga nyumba yako. JIBU: Zamani enzi za biblia, kilimo kilikuwa…

Kwanini Tomaso atake kwenda kufa pamoja na Lazaro? (Yohana 11:14-16).

Jibu: Tusome, Yohana 11:14  “Basi hapo Yesu akawaambia waziwazi, Lazaro amekufa. 15  Nami nafurahi kwa ajili yenu kwamba sikuwako huko, ili mpate kuamini; lakini na twendeni kwake. 16  Basi Tomaso,…