DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

NINI NI KILICHOMFANYA IBRAHIMU AKUBALI KUMTOA MWANAWE SADAKA?

Karibu tujifunze Biblia. Tukio la Ibrahimu kukubali kumtoa mwanawe kuwa sadaka ya kuteketezwa lilikuwa ni jambo gumu na la kishujaa sana…Kiasi kwamba ilihitajika kuwa mtu mwingine ndipo moyo huo mtu…

Je! habari ya Yusufu, inabeba ujumbe gani kwa agano jipya?

SWALI: Habari mtumishi, naomba kujifunza habari hii ya kwamba, agano la kale ni kivuli cha agano jipya.., sasa ile habari ya Yusufu ilikua ina ufunuo gani kwa agano jipya? JIBU:…

Je Mtu anaweza kusema uongo, Na Mungu akambariki?

SWALI: Shalom, naomba msaada wenu kuna sehemu zimenichanganya.. Kutoka 1:15-20 ..wale wazalishaji wa kimisri.. wanatumia uongo na Mungu anawabariki... swali langu .. Je busara ya uongo inaweza tumika na isiwe…

FUKUZA TAI WOTE JUU YA SADAKA YAKO.

Fukuza tai wote.. Shalom, Jina la mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe daima,. Karibu tujifunze Neno la Mungu.. Lipo jambo naamini utaongeza katika Habari hii nzuri ya Ibrahimu ambaye tunamwita baba…

KUOTA UNATEMBEA JUU YA MAJI.

Nini maana ya Kuota unatembea juu ya maji ?. Kama tunavyojua stori ya mtu mmoja  katika biblia ambaye alirekodiwa kutembea juu ya maji, ni Bwana wetu Yesu Kristo peke yake.…

NI WAKATI WA KUJIPIMA, WEWE KAMA MTUMISHI WA MUNGU!

Fuatilia kisa hii, Binti mmoja akiwa bado mdogo wa miaka 9 aliwauliza wazazi wake, Je! Wazazi wangu Niishi maisha gani ili nifanikiwe, Wazazi wake wakamwambia, mwenetu, wewe huihtaji kwenda shule…

NI WAPI MAHALI SAHIHI PA KULIPA ZAKA?

Shalom karibu tujifunze Biblia, kwasababu Neno la Mungu ndio mwanga wa njia zetu na taa iongozayo miguu yetu. Ni wapi mahali sahihi pa kulipa zaka je ni kanisani, au kwa…

KUTUBU SIO KUOMBA REHEMA.

Kutubu sio kuomba rehema kwa Mungu!. Jina la Bwana libarikiwe. Ipo tofauti kati ya kutubu na kuomba rehema…Wengi tunaomba rehema lakini hatutubu…Ndugu, Rehema bila Toba ni bure!. Kuomba rehema hakuna…

Kwanini kabila la Dani limeondolewa kwenye Ufunuo 7?

SWALI: Hujambo ndugu.Nina ulizo kuhusu kabila 12 ya Yakobo (Israeli) katika mwanzo 49 tunaona kabila la DANI lipo, lakini katika ufunuo 7 kabila la Dani halipo badala yake lipo manase.…

Mahuru ndio nini?

SWALI: Mahuru ndio nini? Kama Bwana alivyosema katika Mathayo 17:26, Na ni jambo gani tunajifunza pale? JIBU: Tusome; Mathayo 17:25 “Naye alipoingia nyumbani, Yesu alitangulia kumwuliza, akisema, Waonaje, Simoni? Wafalme…