DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

JIFUNZE NAMNA YA KULITUMIA NENO LA MUNGU.

Jina la Bwana wetu Yesu libarikiwe. Karibu tujifunze Biblia, Umewahi kujiuliza kwanini siku zote vita vya wanajeshi vinakuwaga ni vigumu? Haijalishi watakuwa wamevaa mavazi gani ya kujikinga na silaha na…

HERODE NA PILATO, MAADUI WAWILI WAPATANA.

Jina la Bwana wetu na mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe daima. Natumai u mzima, hivyo nakukaribisha tuyatafakari kwa pamoja maneno ya uzima ya Mungu wetu,. Leo tutatazama tukio moja kati…

Silaha za Mkono wa kuume na za mkono wa kushoto ni zipi

SWALI: Katika 2Wakorintho 6:7, Hizo Silaha za Mkono wa kuume  na za mkono wa kushoto ni zipi? JIBU: Tusome, 2Wakorintho 6:7 “katika neno la kweli, katika nguvu ya Mungu; kwa…

QUENCH NOT THE SPIRIT

1 Thessalonians 5:18-19;-"In every thing give thanks, for this is the will of God in Christ Jesus concerning you.Quench not the Spirit." On the day of Pentecost,the Holy Spirit descended…

NANGA YA ROHO, YENYE SALAMA.

Shalom, Karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya Bwana wetu. Ndugu, ukilikosa tumaini ambalo linapatikana kwa YESU tu peke yake, ni ngumu kuimaliza hii safari yako hapa duniani salama, haijalishi utajifanya…

Marijani ni nini katika biblia(Ayubu 28:18,Mithali 8:11)?

Marijani ni nini? Ni madini ya thamani, yenye rangi iliyo katikati ya wa waridi/pinki na nyekundu iliyokolea (rangi ya damu). Yamezoeleka kuitwa kwa jina la kiingereza “Ruby”. Tazama picha juu.…

Bilauri ni nini kibiblia?(Ufunuo 21:11,22:1)

Bilauri ni glasi, Na kama tunavyojua glasi huwa zina mwonekano mzuri wa kung’ara na  wakuvutia, usiositiri uchafu, zimetengenezwa kwa madini yanayoitwa Crystal, tazama picha juu, Katika biblia sehemu nyingi Neno…

BENEFITS OF PRAYER

Prayer is divided into three main parts: 1) Prayer of Thanksgiving 2) Petition Prayer. 3) Prayer of Declaration. 1.) PRAYER OF THANKSGIVING. Many believers are well-acquainted with this part of…

Zabarajadi ni nini katika biblia (Ufunuo 21:20)?

Zabarajadi ni nini? Ni moja ya mawe ya thamani, ambayo yanaonekana yakitajwa sehemu nyingi katika biblia, mawe haya yapo katika rangi mbalimbali, mengine yana rangi kama ya kijani, mengine njano,…

Rangi ya kaharabu ni ipi kibiblia(Ezekieli 1:4,27,8:2)?

Rangi ya kaharabani ni ipi? Rangi ya kaharabu ni rangi iliyo katikati ya Njano na machungwa, kwa lugha rahisi ya kueleweka wengi wanaiita Njano, japo si njano kabisa. Tazama picha.…