DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Kama wakitenda mambo haya katika mti mbichi, itakuwaje katika mkavu?

SWALI: Bwana Yesu alimaanisha nini kusema “Kwa kuwa kama wakitenda mambo haya katika mti mbichi, itakuwaje katika mkavu? (Luka 23:31) JIBU: Tunaona sehemu mbalimbali katika biblia Bwana Yesu alijifananisha na…

Adhama ni nini katika biblia?

Adhama ni neno lenye maana ya “Uzuri wa hali ya juu sana”. Na huu uzuri ni Bwana Yesu tu peke yake ndio anao, yeye ndiye mwenye adhama. Zaburi 93: 1…

2Samweli 24:1-14,inasema ni jambo la kutisha kuangukia katika mkono wa Bwana je! inakinzana na Waebrania 10:31?.

SWALI: Katika 2Samweli 24:1-14, Hapo tunaona Daudi anasema, afadhali kuangukia katika mkono wa Bwana, lakini anapingana na Paulo katika Waebrania 10:31, anaposema ni jambo la kutisha mtu kuangukia katika mikono…

MAMBO YA KUJIFUNZA KATIKA KITABU CHA TITO.

Kitabu cha Tito ni waraka ulioandikwa na Mtume Paulo, kwa mtu anayejulikana kama Tito. Tito alikuwa ni mmoja wa watu waliogeuzwa kumgeukia Kristo, kupitia injili ya Mtume Paulo. Na mtu…

Nini maana ya siku moja kwa Bwana ni kama miaka elfu, na miaka elfu ni kama siku moja? (2Petro 3:8)

Tusome, 2Petro 3:8 “Lakini, wapenzi, msilisahau neno hili, kwamba kwa Bwana siku moja ni kama miaka elfu, na miaka elfu ni kama siku moja”. Kama ukiendelea mbele kidogo kusoma mstari…

NGUVU YA MNADHIRI WA BWANA.

Jina la Mwokozi wetu Yesu, libarikiwe. Mnadhiri ni mtu aliyejitenga na mambo fulani ili atimize nadhiri/Ahadi aliyoiweka kwa Mungu wake. Kwamfano katika agano la kale, kama mtu ameweka nadhiri fulani…

NIFANYALO WEWE HUJUI SASA; LAKINI UTALIFAHAMU BAADAYE.

Wakati ule ambao Bwana Yesu anawatawadha wanafunzi wake miguu, Petro alimuuliza Bwana swali la mshangao sana, lililoashiria kugoma kutawadhwa miguu na Bwana, kwasababu alitazamia kuwa wao ndio wangepaswa wamtawaze yeye…

Ni kweli Waliolala Katika Kristo Wamepotea?(1Wakor 15:18)

SWALI: Bwana Yesu Asifiwe Naombeni Ufafanuzi Je Maneno Haya Yana Maana Gani 1wakoritho15:18-19 "na Hapo Wao Nao Waliolala Katika Kristo Wamepotea , 19 "kama Katika Maisha Haya Tu Tumemtumaini Kristo,…

Alipo Roho wa Bwana, hapo ndipo penye uhuru

SWALI: Naomba kufahamu nini maana ya huu mstari? Wakorintho 3:17 “Basi ‘Bwana’ ndiye Roho; walakini alipo Roho wa Bwana, hapo ndipo penye uhuru”. JIBU: Kauli hiyo kinyume chake ni kuwa,…

Sitara ni nini katika biblia?

Sitara limetokana na neno “sitiri”, na kusitiri maana yake ni “kuficha kitu au jambo” hivyo kitu chochote kinachositiri kinaitwa “Sitara”. Nguo ni mfano wa Sitara, kwani inasitiri maungo yetu.. Kadhalika…