DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

JE ADAMU ALIKUWA NA KITOVU?

SWALI: Je Mungu alipomwumba Adamu kwa sura yake na mfano wake alikuwa na kitovu?..Kwasababu kazi ya kitovu ni kumlisha mtoto tumboni chakula kutoka kwa mama yake.....Sasa Adamu na Hawa hawakupitia…

Je! kuna maombi yoyote ya kumtoa mtu aliyekufa kwenye mateso ya kuzimu?

JIBU: Kama yatakuwepo maombi ya kumtoa mtu aliyekufa katika dhambi kuzimu …basi yatakuwepo pia maombi..au itakuwepo namna ya kumtoa mtu aliyekufa katika haki paradiso. Lakini kama hakuna maombi yoyote au…

ALIJARIBIWA SAWASAWA NA SISI KATIKA MAMBO YOTE.

Alijaribiwa sawasawa na sisi katika mambo yote!! Waebrania 4:14 “Basi, iwapo tunaye kuhani mkuu aliyeingia katika mbingu, Yesu, Mwana wa Mungu, na tuyashike sana maungamo yetu. 15 Kwa kuwa hamna…

Je Kutoa Mimba ni dhambi?

Je Utoaji mimba/ kutoa mimba ni dhambi?..Je kama mtoto aliye tumboni anahatarisha uhai wa mama na madakatari wakamwambia anapaswa atoe hiyo mimba ili aishi vinginevyo atakufa..je endapo akiitoa ili kunusuru…

Nini tofauti kati ya Amri, sheria na Hukumu?

Nini tofauti kati ya Amri, sheria na Hukumu? JIBU: Tukisoma kitabu cha Kumbukumbu 7:11 biblia inasema… “Basi zishike AMRI, NA SHERIA, NA HUKUMU ninazokuamuru leo, uzitende. 12 Na itakuwa, kwa…

NENO NI LILE LILE, LAKINI UJUMBE NI TOFAUTI.

Neno ni lile lile, lakini ujumbe ni tofauti. Shalom. Wakati wana wa Israeli wanatoka Misri kuelekea Nchi yao ya ahadi walipokuwa wanapitia jangwani, walifikia mahali panapoitwa Kadesh-Barnea, eneo hilo lilikuwa…

SIKU YA UNYAKUO ITAKUKUTAJE?

Siku ya unyakuo itakukutaje? Shalom.Jina la Bwana wetu Yesu Krito libarikiwe. Karibu tujifunze Biblia..Je unajua kuwa kuna siku Kristo atakuja kuwachukua wateule wake? Na kwenda nao mbinguni?..Je unajua watakaokwenda mbinguni…

Tofuati kati ya Myahudi, Mwisraeli na Muebrania ni ipi?

Tofuati kati ya Myahudi, Mwisraeli na Muebrania ni ipi? Haya ni maneno matatu tofauti lakini kiuhalisia yanangumzia kitu kimoja..Ni sawa na useme, mtanzania, mtanganyika, na mswahili..Ni yule yule isipokuwa inategemea…

JE KUCHOMA MAITI NI DHAMBI?

Je kuchoma maiti ni dhambi? mpaka iteketee kabisa na kuwa jivu?..Kwamfano maiti ya mtu aliyeokoka kuichoma kama wanavyofanya wahindu ni dhambi?..je hizo ni ibada za wafu?..mtu akifa roho yake inakwenda…

HAJANENA KAMWE MTU YE YOTE KAMA HUYU ANAVYONENA.

Yohana 7:45 ‘’Basi wale watumishi wakawaendea wakuu wa makuhani na Mafarisayo. Nao wakawaambia, Mbona hamkumleta? 46 Wale watumishi wakajibu. Hajanena kamwe mtu ye yote kama huyu anavyonena. 47 Basi Mafarisayo…