DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

NI KIZAZI KIPI WEWE UPO?

Kibiblia  Kizazi ni kundi la watu linalozuka ghafla lenye tabia zinazofanana, linaweza kuzuka aidha kutokana na mabadiliko ya nyakati, au mabadiliko ya mazingira. Kwamfano, Wana wa Israeli walipokuwa Misri, chini…

Is a woman allowed going to the altar when she is in her menstruation?

The word of God which shows that a woman must be abandoned when she is in her menstruation if from Leviticus 15:19-33 19 And if a woman have an issue,…

WITO WA MUNGU HAUVUKI NENO LAKE.

Bwana Yesu atukuzwe ndugu yangu. Karibu tuyatafakari maneno ya uzima pamoja.. Tunaposoma biblia..tujue kuwa tunausoma ufahamu wa Mungu. Mtu asiyeitafakari biblia halafu anakimbilia kwenda kumtumikia Mungu.. Ajue kuwa anajiweka katika…

Je Bwana Yesu alikuwa na mchoro (tattoo) katika paja lake?

Tusome.. Ufunuo 19:16 “Naye ana jina limeandikwa katika vazi lake na paja lake, MFALME WA WAFALME, NA BWANA WA MABWANA” Mstari huu unatumika na wengi wanaohalalisha uchoraji wa tattoo katika…

What is the difference between flesh and spirit uncleanness?

QUESTION: I need to know what is the difference between flesh and spirit uncleanness?? As we read in 2 Corinthians 7:1 2 Corinthians 7:1 "Having therefore these promises, dearly beloved,…

NA ABARIKIWE KILA AKUBARIKIYE, NA ALAANIWE KILA AKULAANIYE.

SWALI: Nini maana “nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani;”..Je! Ni kwa namna gani tunapaswa tulibariki taifa la Israeli.  Je! Ili tubarikiwe tunapaswa, tufunge na kuliombea Taifa la Israeli usiku na mchana,…

ALAMA ZA BENDERA YA ISRAELI ZINAWAKILISHA NINI?

Wakati Mungu anawatoa Israeli kutoka Misri, Mungu hakuwapa bendera kuwa kama Ishara ya Taifa hilo, Hivyo bendera kwa Israeli ni kitu kilichokuja kuzalika miaka mingi baada ya Kristo kuja duniani…

Atamaniye faida huifadhaisha nyumba yake mwenyewe;

Mithali 15:27 Atamaniye faida huifadhaisha nyumba yake mwenyewe; Bali achukiaye zawadi ataishi.

Karama ya pili inayozungumziwa katika 2Wakorintho 1:15 ndio ipi?

Tusome, 2Wakorintho 1:15 “Nami nikiwa na tumaini hilo nalitaka kufika kwenu hapo kwanza, ili mpate karama ya pili” Sio wakati wote neno “karama” linapotumika kwenye biblia linamaanisha “karama ya roho…

Kwanini kabla ya Kristo, miaka ilikuwa inahesabiwa kwa kurudi nyuma?

Nyakati zote kabla na hata baada ya Kristo miaka inahesabiwa kwa kwenda mbele, hakuna wakati wowote au kipindi chochote miaka ilihesabiwa kwa kurudi nyuma. Litakuwa ni jambo lisilo la kiakili…