DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

TWAENENDA KWA IMANI NA SI KWA KUONA.

Jina la Bwana YESU KRISTO, aliye Mkuu wa mbingu na nchi libarikiwe. Maandiko yanasema.. 2 Wakorintho 5:6 “Basi siku zote tuna moyo mkuu; tena twajua ya kuwa, wakati tuwapo hapa…

BE NOT RIGHTEOUS OVER MUCH

Shalom People of God let us study the Bible… God's Word tells us in the book of ... Ecclesiastes 7:16 "Be not righteous over much; neither make thyself over wise:…

TUZIDI KUWA HODARI KATIKA BWANA.

Shalom. Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia.. Maandiko yanasema. Waefeso 6:10 “Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake”. Biblia…

UMEITIMIZA HAKI YOTE?

Ipo haki na ipo Haki yote. Mathayo 3:13 “Wakati huo Yesu akaja kutoka Galilaya mpaka Yordani kwa Yohana ili abatizwe. 14 Lakini Yohana alitaka kumzuia, akisema, Mimi nahitaji kubatizwa na…

Neno “Uchungu wa mauti” lina maana gani kibiblia?

Uchungu wa mauti ni nini, kibiblia? Matendo 2:23 “mtu huyu alipotolewa kwa shauri la Mungu lililokusudiwa, na kwa kujua kwake tangu zamani, ninyi mkamsulibisha kwa mikono ya watu wabaya, mkamwua;…

EZEKIELI, ITABIRIE MIFUPA MIKAVU.

Je! Ule Unabii wa mifupa mikavu una maana gani kwetu? Ezekieli alionyeshwa maono,ambayo yalimshangaza sana, maono yenyewe yalihusu mifupa ya watu ambao walionekana kama walishakufa  kipindi kirefu sana nyuma, na…

JINSI MUNGU ATAKAVYOTOA THAWABU ZAKE, NA VIGEZO ATAKAVYOTUMIA. (Sehemu ya 5)

Bwana Yesu asifiwe, nakukaribisha katika Makala zinazoeleza juu ya thawabu mbalimbali za Mungu, na vigezo ambavyo Mungu atavitumia kuzitoa thawabu hizo. Tumeshatazama vigezo vya thawabu kadha wa kadha huko nyuma,…

Je shetani ana uwezo wa kujua mawazo ya mtu?

Jibu: Hii ni moja ya hoja ambayo ni muhimu sana mkristo yeyote kuijua. Ukweli ni kwamba shetani hawezi kuingia kwenye ufahamu wa mtu na kujua anachokifikiri au kukiwaza au kukipanga.…

JINSI MUNGU ATAKAVYOTOA THAWABU ZAKE, NA VIGEZO ATAKAVYOTUMIA. (Sehemu ya 4)

Nakusalimu katika jina kuu sana  la Bwana wetu Yesu Kristo, karibu katika kujifunza Neno la Bwana. Bado tupo katika mwendelezo wa thawabu mbalimbali za Mungu, na vigezo anavyovitumia kuzitoa. Hii…

Kwanini hatuirithi neema kama tunavyoirithi dhambi?

Kristo atukuzwe! Kama dhambi ilikuja kupitia mtu mmoja (Adamu), na kila aliyezaliwa ameirithi, kwanini Neema iliyoletwa na Bwana Yesu hatujairithi, yaani wote wanaozaliwa wasiwe na dhambi? Jibu: Ni kweli maandiko…