SWALI: Nini maana ya Mithali 27:21 inaposema “Kalibu ni kwa fedha, na tanuru kwa dhahabu; Na mtu hujaribiwa kwa sifa zake” JIBU: Kalibu na tanuru hizi ni sehemu za moto,…
Swali: Tunaona Yakobo alishindana mweleka na Malaika wa Mungu (Mwanzo 32:24), je kuna ubaya wowote na sisi kutazama mieleka kwenye Tv?. Jibu NI La! Biblia haijawahi kutufundisha wakati wowote kuipenda…
(Masomo maalumu kwa wanandoa). Je unamjua Klopa au Kleopa kwenye biblia?.. na tena unamjua Mke wake? Tuanze kwa mke wa Klopa, kabla hatujaenda kwa Klopa mwenyewe… Jibu: Tusome, Yohana 19:25 …
Swali: Tukisoma Mwanzo 2:23, tunaona Mwanamke Hawa pekee ndiye aliyetajwa kama “Nyama na mfupa wa Adamu” kwasababu alitwaliwa kutoka kwa Adamu..lakini tukiruka mpaka kwenye kitabu hicho hicho cha Mwanzo 29:14,…
Yakobo 3:11 “Je! Chemchemi katika jicho moja hutoa maji matamu na maji machungu?” “Jicho” linalozungumziwa hapo sio “jicho” lililo kiungo cha mwanadamu kinachotumika kutazama bali ni chemchemi ya maji. Ukiendelea…
Mithali 5:15 “Unywe maji ya birika lako mwenyewe, Na maji yenye kububujika katika kisima chako. 16 Je! Chemchemi zako zitawanyike mbali, Na mito ya maji katika njia kuu? 17 Yawe…
Swali: Biblia inasema katika Yakobo 4:9 kwamba kucheka kwetu kugeuzwe kuwa maombolezo, je Mungu hapendi tuwe tunafurahi? Au maana yake ni nini mstari huu? Jibu: Turejee Yakobo 4:9 “Huzunikeni na…
Ayubu 23:10 “Lakini yeye aijua njia niendeayo; Akisha kunijaribu, nitatoka kama dhahabu” Kila mmoja kaandaliwa mapito yake na Mungu, ijapokuwa hatma yetu ni moja lakini mapito kamwe hayawezi kufanana. Na…
Mafundisho maalumu kwa watumishi wa Mungu (Wachungaji, Mitume, manabii, wainjilisti n.k.) Mithali 29:4 “Mfalme huithibitisha nchi kwa hukumu; Bali yeye apokeaye rushwa huipindua” Uongozi wa kidunia mara nyingi hutoa picha…
Mhubiri 10:20 Usimlaani mfalme, la, hata katika wazo lako; Wala usiwalaani wakwasi chumbani mwako; Kwa kuwa ndege wa anga ataichukua sauti, Na mwenye mabawa ataitoa habari JIBU: Ni vema kutambua…