DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

MOJA YA HIZI SIKU TUTAONA MABADILIKO MAKUBWA SANA.

Kama kuna majira ambayo si ya kufanya mchezo na masuala ya wokovu wetu hata kidogo basi ni haya. Kwani moja ya hizi siku tutashuhudia mabadiliko makubwa sana na ya ghafla…

USIHUZUNIKE.

Katika maisha kila mwanadamu ambaye ameumbwa na Mungu mkuu, ni lazima ameumbiwa kitu kinachoitwa huzuni ndani yake. Maana yake ni kwamba ni lazima atapitia vipindi vya huzuni na vile vile…

NAO WAKADHANI YA KUWA YUMO KATIKA MSAFARA;

Bwana wetu Yesu Kristo asifiwe ndugu yangu.. Nyakati hizi za mwisho tunazoishi sasa, ni nyakati ambazo zinakithiri kuwa na mseto wa watu wengi wanaojiita wakristo, leo hii ni rahisi kuona…

Kwanini yule mtu afe kwa kuliwa na simba?

Katika 1Wafalme 20:35-37, Kwanini yule mtu afe kwa kuliwa na simba baada ya kukataa kumpiga yule nabii?..je Mungu anaruhusu watu kupigana? JIBU:Tusome 1Wafalme 20:35-37 “Basi, mtu mmoja wa wana wa…

JE WEWE NI LAZARO YUPI, WA KWANZA AU WA PILI?

Shalom jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Kuna wakati Bwana Yesu aliwaambia mitume wake maneno haya.. Yohana 12:24 “ Amin, amin, nawaambia, Chembe ya ngano isipoanguka katika nchi, ikafa,…

Ni wakati upi ambao vita vilipiganwa na shetani kutupwa chini?

SWALI: Katika Luka 10:18, tunasoma Bwana Yesu alimwona shetani akianguka kutoka mbinguni kama umeme..na katika Ufunuo 12:7-9 Biblia inasema kulikuwa na vita mbinguni na shetani akatupwa chini..Sasa ni wakati gani…

ANGALIA UZURI WAKO, USIGEUKE KUWA KITANZI CHAKO.

Shalom, Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe daima.. Karibu tuzidi kujifunza maneno matakatifu ya Mungu, Na leo tutaona kwa ufupi habari ya mtu mmoja anayeitwa Absalomu mwana wa Daudi…

Je! Bwana Yesu alibatiza akiwa hapa duniani?

Je! ni kweli Bwana Yesu alibatiza mtu akiwa hapa duniani? JIBU: Bwana Yesu yeye mwenyewe hakubatiza bali wanafunzi wake ndio waliobatiza kwa agizo lake yeye. Hata leo mkuu wa nchi…

Ni kwa namna gani Yesu amewekwa kwa kuanguka na kuinuka?

SWALI: mstari huu una maana gani? Luka 2:34 “Simeoni akawabariki, akamwambia Mariamu mama yake, Tazama, huyu amewekwa kwa kuanguka na kuinuka wengi walio katika Israeli, na kuwa ishara itakayonenewa”? JIBU:…

IKIMBIE DHAMBI KWA GHARAMA ZOZOTE ZILE!

Ikimbie dhambi. Shalom. Karibu tujifunze biblia, na kujikumbusha yale ambayo tumeshajifunza. Kitu pekee ambacho watu wa Mungu tunapaswa tukiogope kuliko vyote kwa nyakati zetu hizi sasa ni dhambi…Wala hatupaswi kuogopa…