DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Kwanini Bwana Yesu, aliruhusu yale mapepo yawaingie nguruwe?

SWALI: Kwanini Bwana Yesu, aliruhusu yale mapepo yawaingie nguruwe, kwanini asingeyatoa tu na kuyaacha yaende sehemu nyingine mbali na wale nguruwe, kwani kufanya vile si ni kama aliharibu biashara au…

NITAPOKEAJE NGUVU YA KUSHINDA DHAMBI?

Kurudi Nyuma kiimani maana yake nini?..Nitapokeaje nguvu ya kushinda dhambi? Shalom, Jina la Bwana wetu Yesu Kristo lizidi kubarikiwa..Karibu tujifunze maandiko. Swali la kujiuliza leo ni nini maana ya kurudi…

ANGALIA USIJE UKANG’OA NGANO KATIKATI YA MAGUGU.

Naomba watu wote tusome hii… Hakuna mtu asiyejua kuwa shetani, naye hujigeuza na kuwa mfano wa malaika wa Nuru (2Wakorintho 11:14)? Lakini tunapaswa tujiulize lengo la yeye kujibadilisha vile ni…

TOFAUTI KATI YA HEKALU, SINAGOGI NA KANISA NI IPI?

HEKALU. Kulingana na historia ya Taifa la Israeli, tangu zamani wakiwa jangwani walikuwa wanamwabudu Mungu kwa kumtolea Dhabihu za aina mbalimbali mbele ya ile hema ya kukutania kama Musa alivyoagaizwa…

VICHEKESHO NA UTANI MADHABAHUNI

Je madhabahu ni sehemu ya kufanyia mizaha, utani, vichekesho au vituko?.. Zaburi Sura ya kwanza kabisa na mstari wa kwanza unasema... " Heri mtu yule asiyekwenda katika shauri la wasio…

KWANINI WENGINE WANYAKULIWE,NA WENGINE WAACHWE?

Ni kwasababu ile ile kwanini Henoko alitwaliwa, na wengine wakabaki, Na Eliya alinyakuliwa na wengine wakabaki. Mungu aliruhusu kwa makusudi kabisa watu hawa wawe mfano wa mambo hayo ili kutupa…

JE! UNAYATUNZA MAVAZI YAKO?

Ufunuo 16:15 “(Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.)” Vazi ni kitu kinachositiri mwili…Mwili ukikosa mavazi unakuwa tupu/uchi. Na ni…

Je! Ni kweli ubatizo wa maji hatuuhitaji tena?

SWALI: Naomba kufahamu Je! Ni kweli ubatizo wa maji hatuuhitaji tena, tunaopaswa tuwe nao ni ule wa Roho Mtakatifu tu peke yake kama vile Yohana Mbatizaji alivyosema katika Mathayo 3:11…

NINI KINAFUATA SIKU ILE ILE YA KUOKOKA!

Ni nini kinafuata siku ile ya kuokoka!? Ni swali linaloulizwa na wengi... Shalom.Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe…Karibu tujifunze Biblia, Neno la Mungu ambalo ni mwanga wa njia zetu…

USIMPE NGUVU SHETANI.

Biblia inatuonyesha yapo majaribio matatu ambayo shetani atajaribu kuyafanya ili kuupandikiza ufalme wake. Jaribio la kwanza ni lile alilolifanya mbinguni, lakini akashindwa, pale alipopigwa na akina Mikaeli pamoja na malaika…