SWALI: mnamfanya kuwa mwana wa jehanum mara mbili zaidi kuliko ninyi wenyewe.(Mathayo 23:15) Mathayo 23:15 Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnazunguka katika bahari na nchi kavu ili…
Je biblia inatufundisha wakristo kuwa na desturi?. Jibu ni Ndio!, Biblia inatufundisha kuwa na desturi, ikiwa na maana kuwa desturi ina nyongeza kubwa sana katika Imani ya mkristo. Sasa desturi…
SWALI: Naomba kufahamu maana ya mawe matano ya kombeo na jiwe la kwanza maana yake nini na la pili hata la tano, na kwa nini mawe laini asingeokota jiwe ni…
SWALI: Nini maana ya Mithali 27:21 inaposema “Kalibu ni kwa fedha, na tanuru kwa dhahabu; Na mtu hujaribiwa kwa sifa zake” JIBU: Kalibu na tanuru hizi ni sehemu za moto,…
Swali: Tunaona Yakobo alishindana mweleka na Malaika wa Mungu (Mwanzo 32:24), je kuna ubaya wowote na sisi kutazama mieleka kwenye Tv?. Jibu NI La! Biblia haijawahi kutufundisha wakati wowote kuipenda…
(Masomo maalumu kwa wanandoa). Je unamjua Klopa au Kleopa kwenye biblia?.. na tena unamjua Mke wake? Tuanze kwa mke wa Klopa, kabla hatujaenda kwa Klopa mwenyewe… Jibu: Tusome, Yohana 19:25 …
Swali: Tukisoma Mwanzo 2:23, tunaona Mwanamke Hawa pekee ndiye aliyetajwa kama “Nyama na mfupa wa Adamu” kwasababu alitwaliwa kutoka kwa Adamu..lakini tukiruka mpaka kwenye kitabu hicho hicho cha Mwanzo 29:14,…
Yakobo 3:11 “Je! Chemchemi katika jicho moja hutoa maji matamu na maji machungu?” “Jicho” linalozungumziwa hapo sio “jicho” lililo kiungo cha mwanadamu kinachotumika kutazama bali ni chemchemi ya maji. Ukiendelea…
Mithali 5:15 “Unywe maji ya birika lako mwenyewe, Na maji yenye kububujika katika kisima chako. 16 Je! Chemchemi zako zitawanyike mbali, Na mito ya maji katika njia kuu? 17 Yawe…
Swali: Biblia inasema katika Yakobo 4:9 kwamba kucheka kwetu kugeuzwe kuwa maombolezo, je Mungu hapendi tuwe tunafurahi? Au maana yake ni nini mstari huu? Jibu: Turejee Yakobo 4:9 “Huzunikeni na…