DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Santuri ni nini? (Danieli 3:5,10)

Santuri ni nini? Santuri ni chombo cha muziki, ambacho kiliundwa kwa nyuzi nyingi, na kilipigwa kwa vijiti viwili ambavyo viligongwa gongwa juu ya nyuzi hizo ili kutoa midundo tofauti tofauti.…

JE YESU AMEJIAMINISHA KWAKO?

Shalom. Ni wakati mwingine tena Bwana ametupa neema ya kuyatafakari maneno yake, hivyo nakukaribisha katika kuyatafakari pamoja. Lipo jambo tunapaswa tujue kuwa tukisema tu tumemwamini Yesu, kisa tu tumeona anaponya…

Panda/ Sauti ya panda ni nini kibiblia?(Danieli 3:5)

SWALI: Biblia inaposema “hapo mtakapoisikia sauti ya Panda” Inamaanisha nini. Panda ni nini? Panda ni pembe ya kondoo mume, ambayo ilitumika zamani kama tarumbeta. Ilipopigwa iliashiria aidha kutangaza jambo jipya…

JE UPENDO WAKO UMEPOA?

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tuyatafakari Pamoja maandiko. Kuna hili andiko ambalo ni maarufu sana kwetu, ambalo ni unabii Bwana alioutoa na kusema kuwa utatimia kipindi kifupi…

PRAY WITHOUT CEASING.

The most tragic mistake you could ever make in this life is to reduce the time you spend in prayer. You would rather spend short periods within doing the things…

Kinubi ni nini katika biblia? (1Samweli 16:16, 23)

Vyombo vya muziki vilivyotumika zamani katika biblia viligawanyika katika makundi makuu matatu. Vyombo vilivyopulizwa: Mfano Baragumu, filimbi, Tarumbeta, pembe, panda, Vyombo vilivyopigwa na kutoa sauti : Mfano Tari, Zomari, ngoma,…

Matoazi na Matari ni nini? (Kutoka 15:20)

SWALI: Shalom, Naomba kuuliza maana ya MATOAZI kama vyombo vya muziki ni chombo gani? Asante sana JIBU: Matoazi, na  Matari ni jamii moja,, Hizi ni za ala za muziki, ambazo…

Bwana Yesu alimaanisha nini kusema “Saa yangu haijawadia?”

SWALI: Bwana Yesu alimaanisha nini kumwambia mama yake, “Saa yangu haijawadia”? Yohana 2:1 “Na siku ya tatu palikuwa na arusi huko Kana, mji wa Galilaya; naye mama yake Yesu alikuwapo.…

KWANINI KRISTO AFE?

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Swali la msingi: Kwanini Kristo afe, si angekuja tu kuhubiri na kufundisha njia ya wokovu na kisha apae zake kurudi juu alipotoka, kulikuwa…

Aina za dhambi

Aina za dhambi ni zipi? Dhambi zimegawanyika katika makundi makuu manne: Dhambi za makusudi, Dhambi zisizo za makusudi Dhambi za kutotimiza wajibu Dhambi za kutokujua. 1) Dhambi za Makusudi: Hizi…