DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

KUWA MWOMBOLEZAJI.

MAFUNDISHO MAALUMU KWA WANAWAKE. Kuwa mwombolezaji: Yeremia 9:20 “Lakini lisikieni neno la Bwana, enyi wanawake, Na masikio yenu yapokee neno la kinywa chake; Mkawafundishe binti zenu kuomboleza, Na kila mmoja…

BABA UWASAMEHE

Luka 23:34 “Yesu akasema, Baba, uwasamehe, kwa kuwa hawajui watendalo. Wakagawa mavazi yake, wakipiga kura” Je umeshawahi kumwombea msamaha mtu aliyekufanyia ubaya?. Wengi wetu huwa tunaweza kusamehe tu, lakini tukaishia…

NIMEYATUNZA MANENO YA KINYWA CHAKE ZAIDI YA RIZIKI YANGU.

Ayubu 23:12 “ Sikurudi nyuma kuiacha amri ya midomo yake; Nimeyatunza maneno ya kinywa chake zaidi ya riziki yangu”, Huyu ni Ayubu, …si ajabu kwanini Mungu alimwona ni mtu mkamilifu  aliyemcha…

Biblia inapotumia neno “Bila kazi ya mikono”, ina maana gani?

JIBU: ‘Bila kazi ya mikono’ maana yake ni kuwa pasipo kisaidizi chochote cha kibinadamu, kwamfano neno hilo utalisoma katika vifungu hivi; Danieli 2:34 “Nawe ukatazama hata jiwe likachongwa bila kazi…

Hakuna mtu awezaye kuja kwangu isipokuwa amejaliwa na Baba yangu.

SWALI: Inakuwaje tunaambiwa mambo mengine tunajaliwa? Na si kwa jitihada zetu, kujaliwa ni nini kibiblia? JIBU: Kujaliwa maana yake ni kuwezeshwa kufanya jambo ambalo wewe kwa nguvu zako kamwe huwezi…

Je mke wa Musa alikuwa ni Mweusi?

Je Sipora, mke wa Musa alikuwa Mkushi mwenye ngozi nyeusi?, Kulingana na  Hesabu 12:1? Na ni kwanini Miriamu na Haruni wamkasirikie Musa kwa kumwoa mwanamke Mkushi?, na kama alikuwa Mkushi…

EPUKA KUCHELEWA IBADA.

MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA MAENEO YA IBADA: Sehemu ya 2 EPUKA KUCHELEWA IBADA. Jambo la kuchelewa ibada sio tu linamvunjia Mungu heshima yake, lakini pia linaweza kukupelekea mauti. Utajiuliza hili…

Kutazama Nyakati mbaya ni kufanyaje?.

Kumbukumbu 18:10 “Asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto, wala asionekane mtu atazamaye bao, WALA MTU ATAZAMAYE NYAKATI MBAYA, wala mwenye kubashiri, wala msihiri,11 wala mtu…

Kutazama bao ni kufanya nini?

Kumbukumbu 18:10 “Asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto, wala asionekane mtu ATAZAMAYE BAO, wala mtu atazamaye nyakati mbaya, wala mwenye kubashiri, wala msihiri,11 wala mtu…

KATAA KUWA EUTIKO, WA KUSINZIA IBADANI.

MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA MAENEO YA IBADA: Sehemu ya 1 KATAA KUWA EUTIKO, WA KUSINZIA IBADANI. Kuna mambo ambayo yanaonekana madogo, lakini yana madhara makubwa sana rohoni. Watu hawafahamu kuwa…