DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Makanda ni nini?

Makanda ni neno lingine la KAPU. Ambalo hutumika kuhifadhi au kubebea vitu mbalimbali hususani vyakula au nafaka. Katika biblia Neno hilo utakutana nalo katika vifungu kadha wa kadha, mfano wapo…

LAKINI MAKINDA WAWEZA KUYATWAA UWE NAYO.

Ulishawahi kujiuliza ni nini Mungu anafundisha wana wa Israeli nyuma ya agizo hili? Tunalolisoma katika Kumbukumbu 22:6  “Kiota cha ndege kikitukia kuwa mbele yako njiani, katika mti wo wote, au…

Biblia ina sura na milango mingapi?

Biblia ina Aya ngapi? Jibu: “Sura, na Mlango” ni Neno moja. Biblia ni mkusanyiko wa vitabu 66, na kila kitabu kina milango yake (sura zake), na kila sura zina aya…

MASWALI NA MAJIBU: YAHUSUYO NDOA- Sehemu ya 2.

Shalom Hii ni sehemu ya pili ya maswali na majibu yahusuyo ndoa.. Sehemu ya Kwanza unaweza kuisoma kupitia  link hii >> MASWALI-NDOA SWALI 01: Je Mkristo anaruhusiwa kuoa mtu wa…

Dunia inalewa-lewa kama mlevi, nayo inawaya-waya kama machela.

SWALI: Naomba kufahamu vifungu hivi tunavyovisoma katika Isaya 24:18-20 vinamaana gani? Isaya 24:18 “Itakuwa kila akimbiaye sauti ya hofu ataanguka katika shimo; na kila apandaye na kutoka shimoni atanaswa na…

MUNGU HUWAPINGA WENYE KIBURI.

Kiburi ni nini? Kulingana na biblia kiburi “ni hali ya mtu kujiinua kifikra, na kuamini kuwa hahitaji msaada wowote kutoka kwingine”. Hali hii inaambatana na kudhihirisha tabia nyingine ndogo ndogo…

MASWALI NA MAJIBU: YAHUSUYO NDOA

SWALI 01: Je wakristo tunaruhusiwa kuoa mke zaidi ya mmoja? Jibu: Kwa mujibu wa biblia, Ndoa ya kikristo ni ya mke mmoja na mume mmoja. Marko 10:6 “Lakini tangu mwanzo…

TUMEFANYA KAZI YA KUCHOSHA USIKU KUCHA.

Nakusalimu katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo. Ni siku nyingine tena yenye neema za Bwana. Napenda leo tujifunze, ni nini kwanza Bwana anahitaji kuona kwetu kabla ya yeye kuachilia…

Kudhili ni kufanya nini?

Swali: Kudhili ni nini, au mtu aliyedhiliwa anakuwaje? Jibu: Kudhili maana yake ni “kushusha chini” Mtu aliyeshushwa chini maana yake “kadhiliwa”. Katika biblia, maandiko yanaonesha kuwa Mungu huwadhili watu wote…

Mnanaa, Bizari na Jira ni viungo gani? (Mathayo 23:23)

Swali: Hivi viungo tunavyovisoma katika Mathayo 23:23, ni viungo gani na vina ujumbe gani kiroho? Jibu: Tusome Mathayo  23:23 “ Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnalipa zaka…