DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

KUOTA UNAENDESHA GARI.

Awali ya yote ni vizuri kufahamu kuwa asilimia kubwa ya ndoto tunazoota kila siku au mara kwa mara huwa zinatokana na mawazo yetu wenyewe, naweza kusema hata asilimia 95 ya…

SIKU ZA MWISHO ZA UHAI WANGU.

Kila mwanadamu atafikia ukomo wa siku zake, (yaani siku ya Mauti yake)..Lakini kabla ya siku yenyewe ya kuondoka ulimwenguni haijafika...Kinakuwepo kipindi fulani kifupi ambacho kinaweza kuwa ni miaka 10, au…

Mtu wa Kwanza kufika mwezini

Hakukuwa na mtu mmoja maalumu aliyefika mwezini, kulingana na Sayansi...Waliofika mwezini ilikuwa ni TEAM ya watu watatu (Neil A. Armstrong, Michael Collins na  Edwin E. Aldrin Jr.) Hao ndio waliokuwa…

UPENDO NI NINI NA JE! KUNA AINA NGAPI ZA UPENDO?

Upendo ni kitendo cha kuonyesha hisia za tofauti za ndani kwa mtu mwingine, Ni hisia zinazoonyesha pengine umeridhishwa na mtu huyo, au umemkubali, au umemuhurumia, au unataka kumkaribia uwe karibu…

JE UMEOKOKA?

Shalom, mtu wa Mungu karibu tujifunze Biblia pamoja.. Wapo wanaodhani kuwa hakuna kuokoka duniani! lakini nataka nikuambie wokovu ni hapa hapa duniani..Mbinguni ni matokeo ya wokovu wetu. Biblia inasema kama…

JE UNATAMANI KUMJUA MUNGU, NA HUJUI PA KUANZIA?

Ukiwasimamisha watu wawili mbele yako, mmoja daktari na mwingine mtu wa kawaida ambaye hajasoma, halafu ukawaonyesha wote wawili ndege ya kivita inayopaa hewani, kisha ukawauliza swali moja jepesi “ Je!…

FREEMASONS NI NINI? NA MTU ATATOKAJE HUKO?

Freemason ni nini? nini historia ya freemason?, nani mwanzilishi wa freemason na Je! Freemasons ni wa kuogopwa? Masharti ya freemason ni yapi? Shalom! Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe. Karibu…

NUHU ALIJENGA SAFINA KWA MIAKA MINGAPI?

Biblia haijaweka bayana safina ilijengwa kwa muda gani, Wapo wanaosema ilijengwa kwa muda wa miaka 120 kufuatia mstari wa kitabu cha Mwanzo 6:3 " Bwana akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu…

NUHU ALIISHI MIAKA MINGAPI?

Nuhu aliishi jumla ya miaka 950, hiyo ndio jumla ya miaka yake...Aliishi miaka 600 kabla ya Gharika, na aliishi miaka mingine 350 baada ya gharika. Mwanzo 9:28 "Na Nuhu akaishi…

Nuhu alikuwa na watoto wangapi?

Biblia inasema Nuhu alikuwa na watoto watatu tu! SHEMU, HAMU na YAFETI, ambao wote walikuwa wakiume. Mwanzo 5:32 "Nuhu alikuwa mwenye miaka mia tano, Nuhu akawazaa Shemu, na Hamu, na…