DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

DHIKI KUU INAKUJA NA UNYAKUO UPO KARIBU.

Shalom, karibu tujifunze Biblia Neno la Mungu… Roho Mtakatifu atusaidie leo tena katika kuyatafakari maneno yake.Kama tunavyojua kuwa matukio mengi ambayo yaliwahi kutokea nyakati za kale na kurekodiwa katika biblia…mengi…

Kwanini yule mtu hakukutwa na vazi la arusi wakati alialikwa?

SWALI: Kwanini yule mtu hakukutwa na vazi la arusi wakati naye pia alialikwa?. Inamaana wale wengine walipewa mavazi siku ile ya kuingia karamuni? Tusome: Mathayo 22:1  “Yesu akajibu, akawaambia tena…

KWANINI MUNGU ALIMTUMIA MUSA KWA VIWANGO VILE?

Shalom, Karibu tujifunze Neno la Mungu. Lipo swali ambalo tunaweza tukajiuliza siku ya leo, ni kwanini miujiza yote ile mikubwa namna ile Mungu alimtumia musa kuifanya na si mtu mwingine?…Licha…

ITAFAKARI SIKU YA HUKUMU.

Shalom, Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe…Sio vibaya tukajikumbusha mambo ambayo tulishawahi kujifunza huko nyuma au kufundishwa..Bwana katika agano la kale aliwazuia wana wa Israeli kula wanyama ambao hawacheui…kucheua…

MAMBO 5 AMBAYO KILA MKRISTO ANAPASWA KUFAHAMU.

Mambo 5 ambayo kila mkristo anapaswa kufahamu. NJIA IMESONGA. Kuvuka ng’ambo si kurahisi kama inavyodhaniwa na wengi. Mathayo 7:13  “Ingieni kwa kupitia mlango ulio mwembamba; maana mlango ni mpana, na…

MAJINI WAZURI WAPO?

Majini ni nini? Je kuna majini wazuri?, je pete za majini ni zipi? na namba za majini ni zipi?..Je kuna njia yoyote ya kupata utajiri wa haraka? JIBU: Kwanza ni…

NDUGU,TUOMBEENI.

Ukiangalia ujenzi wa kwanza wa hekalu na ule wa pili utaona kuna utofauti fulani, Kwanza ule wa kwanza uliojengwa na mfalme Sulemani, ulikuwa ni wa utajiri mwingi, ambao ulikuwa tayari…

JE! WEWE NI MWAKILISHI MWEMA?

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe… Tunasoma Bwana wetu Yesu Kristo alipoanza huduma yake alianza peke yake…lakini akiwa katikati ya huduma hiyo, kama wengi wetu tunavyojua aliwatafuta wanafunzi ambao…

MUNGU AKIKUPITA LEO, HAIMAANISHI KUWA HAJAKUCHAGUA.

Shalom, Jina la Mfalme mkuu Yesu Kristo libarikiwe. Nakukaribisha katika kuyatafakari maandiko, Kama vile Paulo alivyomwambia Timotheo “Hata nitakapokuja, ufanye bidii katika kusoma..”(1Timotheo 4:13)..Nasi pia tunapaswa tuonyeshe bidii hiyo hiyo…

JE KUPONYWA NI UTHIBITISHO WA MUNGU KUWA NA WEWE?

Shalom. Karibu tujifunze Biblia, ambalo ndio Neno la Mungu, Mwanga wa njia yetu na Taa iongozayo miguu yetu. Biblia inasema…Mungu anawaangazia jua lake waovu na wema…(Mathayo 5:45), na anawanyeshea mvua…