DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Mtume Paulo alioa?

Mtume Paulo, hapo kwanza alikuwa akiitwa SAULI, Alikuja kuitwa Paulo baada ya kukutana na Bwana Yesu, na kubadilishwa....Alizaliwa mahali panapoitwa Tarso, huko Kilikia,...Kwasasa ni eneo la nchi ya UTURUKI. Matendo…

KUOTA UNASAFIRI.

Napendelea kabla mtu hajakimbilia kutafuta tafsiri ya ndoto yake, ni vizuri kwanza apate  elimu juu  ya aina za ndoto, hiyo itamsaidia kujua ndoto yake inaangukia katika kundi la aina gani,…

KUOTA UNA MIMBA.

Usipokuwa na uelewa wa kutosha  juu ya ndoto, unaweza ukajikuta unatoka nje ya kusudi la Mungu ambalo amekukusudia wewe uishi kwalo hapa duniani.. Na hiyo imewafanya watu wengi wazunguke huko…

Mtakatifu ni Nani?

 JIBU: Tafsiri ya kibiblia ya MTU MTAKATIFU ni tofauti na tafsiri ya kiulimwengu.   Ulimwengu unatafsiri Mtu mtakatifu ni mtu yeyote anayetenda matendo mema! mtu asiyetenda dhambi!..mtu anayekubalika na asiye…

CHAGUA UPANDE WA UZIMA.

Kama ukichunguza kwa makini, utaona Mungu kaumba kila kitu katika sehemu kuu mbili…Kwamfano utaona mtu katengenezwa kwa vipande viwili, kushoto na kulia, na vipande hivyo vinafanana..kila kimoja ni taswira ya…

ASIYEFANYA KAZI NA ASILE

Biblia ina maanisha nini iliposema "Asiyefanya kazi na asile"? Maandiko hayo yanapatikana kutoka katika kitabu cha 2 Wathesalonike 3:10 "Kwa kuwa hata wakati ule tulipokuwapo kwenu tuliwaagiza neno hili, kwamba…

Fahamu Namna ya Kuomba.

Wengi wa wanaompa Yesu Kristo maisha yao kwa mara ya kwanza, ndio maswali ya kwanza kwanza kujiuliza...nitaombaje! namna gani ya kuomba ili Mungu anisikie! Kiuhalisia hakuna fomula fulani maalumu ya…

kanisa la kwanza duniani ni lipi?

Maana ya kanisa ni "walioitwa" kwahiyo watu walioitwa watoke sehemu fulani wanaitwa kanisa.....Hivyo tafsiri ya kanisa sio jengo kama inavyodhaniwa na wengi... Kwahiyo katika maandiko kanisa la kwanza lilianza siku…

YESU NI NANI?

Yesu ni nani? Hili ni swali ambalo sio tu linawachanganya watu wengi wa leo, lakini pia limekuwa ni swali lililowasumbua watu wengi tangu  enzi na enzi vizazi na vizazi huko…

HERI WAFU WAFAO KATIKA BWANA

Ufunuo 14:13 "Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao".…