DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Je ni halali kupiga kura kanisani kuchagua viongozi?

Jibu: Ndio ni jambo la kimaandiko kabisa kupiga kura kuchagua viongozi wa kanisa!. Lakini ni lazima kuzingatia wanaopiga kura na anayepigiwa kura. Wanaopaswa kupiga kura kuchagua viongozi ni lazima wawe…

Je tunaruhusiwa kutumia vidonge wakati wa kufunga?

Je ni tunaruhusiwa kunywa dawa wakati wa kufunga, au kuonja chakula wakati wa kupika kwaajili ya wengine? Jibu: Unapofunga unakuwa unajizuia kula chakula au kunywa chochote, kwa lengo Fulani la…

Nifanyeje niwe mwombaji mzuri, wa masafa marefu?

Nifanyeje niwe mwombaji mzuri, wa masafa marefu?

Midiani ni nchi gani kwasasa?.

Midiani kwasasa ni eneo la Mashariki mwa nchi ya Saudi-Arabia, Kusini mwa nchi ya Yordani. Asili ya waMidiani ni Ibrahimu. Maandiko yanaonyesha baada ya Sara kufa, Ibrahimu alimwoa mwanamke mwingine…

Marago ni nini? ( Waamuzi 10:18)

Marago ni nini? ( Waamuzi 10:18)

Shetri ni nini kama tunavyosoma katika Marko 3:38?

Jibu: Tusome, Marko 4:35 “Siku ile kulipokuwa jioni, akawaambia, Na tuvuke mpaka ng'ambo. 36 Wakauacha mkutano, wakamchukua vile vile alivyo katika chombo. Na vyombo vingine vilikuwako pamoja naye 37 Ikatokea…

Je tunaruhusiwa kushirikiana na wasanii wa kidunia katika kumwimbia Mungu?

Swali: Je Ni sahihi  kimaandiko kwa mwimbaji wa nyimbo za injili kufanya collaboration na wasanii wa kidunia?.. Kabla ya kujibu swali hili, hebu tujiulize kwanza swali lifuatalo!. Je ni sahihi…

Kwa aibu yako mwenyewe, na kwa aibu ya uchi wa mama yako.

SWALI: Je? Daudi na Yonathani walikua wanashiriki mapenzi ya jinsia moja? Kufuatana na vifungu hivi; 1 Samweli 20:30 Basi hasira yake Sauli ikawaka juu ya Yonathani, akamwambia, Wewe, mwana wa…

Ni lini na wapi Ibrahimu aliiona siku ya Bwana akashangilia?.

Tusome, Yohana 8:56 “Ibrahimu, baba yenu, alishangilia kwa vile atakavyoiona siku yangu; naye akaiona, akafurahi”. Jibu: Siku aliyoiiona Ibrahimu sio siku Kristo anamwaga damu yake pale Kalvari, kwaajili ya ondoleo…

Je Kauli ya Mungu katika Warumi 11:4 na 1Wafalme 19:18 inajichanganya?.

Swali: Tunasoma katika Warumi 11:4, Mungu anasema kuwa “nimejisazia” lakini katika Wafalme tunasoma Mungu anasema “nitajisazia” kana kwamba ni kitendo kinachokuja mbeleni.. Je hapo mwandishi gani yupo sahihi? Tusome: Warumi…