Je! Unaona Fahari juu ya nini? Ni kitu gani unachokionea Fahari?.. Je ni mali?, ni vyeo?, au uwezo ulio nao?.. Kama Bwana amekujali kukupa hivyo vyote, basi mshukuru lakini usijionee…
SWALI: Je! Mithali 6:30 inamaana gani? Watu hawamdharau mwivi, Akiiba ili kujishibisha, iwapo aona njaa; 31 Lakini akipatikana, atalipa mara saba; Atatoa mali yote ya nyumba yake. JIBU: Chukulia mfano…
Nakusalimu katika jina la Bwana na mwokozi wetu Yesu Kristo. Karibu tuzitafakari habari njema. Tomaso alikuwa ni mtume wa Bwana. Lakini alikuwa na tabia ya kitofauti na wale mitume wengine…
2 Petro 2:20 "Kwa maana wale waliokwisha kuyakimbia MACHAFU YA DUNIA kwa kumjua Bwana na Mwokozi Yesu Kristo, kama wakinaswa tena na kushindwa, hali yao ya mwisho imekuwa mbaya kuliko…
SWALI: Warumi 14:7 Inamaana gani? "Kwa sababu hakuna mtu miongoni mwetu aishiye kwa nafsi yake, wala hakuna afaye kwa nafsi yake". JIBU: Ni andiko linalotuonyesha uweza wa Mungu ulivyo wa…
Swali: Kuvuta Makasia maana yake nini? Likiwa moja linatiwa ”Kasia”, yakiwa mengi ni “Makasia” … Hizi ni “Zana” ya kukisaidia chombo kutembea juu ya maji. Zana hii kwa mwonekano ni…
Swali: Pepo za Mbisho ni nini? Jibu: Turejee kuanzia mstari wa 23. Mathayo 14:23 “Naye alipokwisha kuwaaga makutano, alipanda mlimani faraghani, kwenda kuomba. Na kulipokuwa jioni, alikuwako huko peke yake.…
Swali: Bwana Yesu alitabiriwa wapi katika agano la kale kwamba atafufuka? Jibu: Kabla ya kuona ni wapi alitabiriwa kufufuka, tutazame kwanza ni wapi alipotabiriwa kuteswa, na kuzikwa, na kukaa kaburini…
Swali: Edomu ni wapi kwa sasa? Maana ya “Edomu” ni “mwekundu”.. Asili ya jina hili kabla halijawa jina la Taifa, ni mwana wa kwanza wa aliyeitwa “Esau”. Biblia inasema Esau…
Jibu: Turejee Isaya 9:6, Isaya 9:6 “Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; NA UWEZA WA KIFALME UTAKUWA BEGANI MWAKE; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu…