DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

USIPOTEZWE NA MANENO YA MANABII WA UONGO.

Shalom jina Kuu la Mwokozi wa Ulimwengu, Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze biblia, Neno la Mungu wetu lililo hai. Katika biblia tunasoma kisa cha Nabii Mmoja aliyetumwa na Mungu kwa…

MUNGU HAONI SHIDA KUMUHAKIKISHIA MWOVU ULINZI.

Baada ya Kaini kumuua ndugu yake, na Mungu, kumlaani kwa laana ile ya kwamba atakuwa mtoro na mtu asiye na kikao duniani, utaona alimwomba Bwana ampunguzie adhabu yake, na baada…

Je ni kweli Yuda hakuwa na dhambi kwa kumsaliti Bwana, kwasababu tayari ilikuwa imeshatabiriwa?

Ni muhimu kufahamu kuwa kila kitu kilichopo sasa au kitakachokuja tayari kilishatabiriwa. Watu wanaomtafuta Mungu walishatabiriwa na vile vile watu watakaomkataa Mungu tayari wameshatabiriwa. Kadhalika upo unabii wa watakaokolewa siku…

ZIFAHAMU KAZI TATU ZA ROHO MTAKATIFU KATIKA ULIMWENGU.

Moja ya mambo muhimu kuyafahamu pia ni  kuhusu Roho Mtakatifu. Kwasababu Roho Mtakatifu ndio ukamilifu wa sauti ya Mungu kwetu.. Sasa kabla ya kwenda kuzitazama kazi kuu tatu za Roho…

Kwanini Bwana Yesu aliwaambia wanafunzi wake wasichukue chochote isipokuwa fimbo tu?

Jibu: Tusome. Marko 6.7  “Akawaita wale Thenashara, akaanza kuwatuma wawili wawili, akawapa amri juu ya pepo wachafu; 8  akawakataza wasichukue kitu cha njiani ISIPOKUWA FIMBO TU; wala mkate, wala mkoba,…

MAAGIZO AMBAYO HAYAJAAGIZWA!

Shalom! karibu tujifunze biblia, Neno la Mungu wetu, taa iongozayo miguu yetu na Mwanga wa njia yetu, iendayo mbinguni. Katika biblia tunaona yapo maagizo mengi ambayo Mungu wetu ametupatia Moja…

USIJITUMAINISHE JUU YA SIRA YAKO ANGALI UPO KATIKA DHAMBI.

Yeremia 48:11 “MOABU AMESTAREHE TANGU UJANA WAKE, NAYE AMETULIA JUU YA SIRA ZAKE, WALA HAKUMIMINWA KUTOKA CHOMBO KIMOJA KUTIWA CHOMBO KINGINE, wala hakwenda kufungwa; kwa hiyo ladha yake anakaa nayo,…

ONDOA TAKATAKA KATIKA FEDHA, NA CHOMBO KITATOKEA KWA MTAKASAJI.

Shalom, karibu tujifunze Neno la Mungu. Biblia inatuambia..  “Ondoa takataka katika fedha, Na chombo kitatokea kwa mtakasaji; (Mithali 25:4) Tunapoiona dhahabu au madini mengine yote, yanang’aa sana, mpaka kufikia kiwango…

Je ni kweli siku ya mwisho dunia itakunjwa kama karatasi na kutupwa motoni?

Jibu: Hakuna mstari wowote katika biblia takatifu unaosema kwamba dunia siku moja itakunjwa kama karatasi na kutupwa motoni. Mstari ambao unawachanganya wengi ni ule wa Isaya 34:4 unaosema.. Isaya 34:4…

Je! Mwandishi wa kitabu cha Warumi alikuwa ni Paulo au Tertio?

SWALI: Je! Mwandishi wa kitabu cha Warumi alikuwa ni Paulo au Tertio? kulingana na mstari huu; Warumi 16:22 “Mimi Tertio, niliyeandika waraka huu, nawasalimu katika Bwana”. JIBU: Paulo katika maneno…