DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Hakuna mtu awezaye kuja kwangu isipokuwa amejaliwa na Baba yangu.

SWALI: Inakuwaje tunaambiwa mambo mengine tunajaliwa? Na si kwa jitihada zetu, kujaliwa ni nini kibiblia? JIBU: Kujaliwa maana yake ni kuwezeshwa kufanya jambo ambalo wewe kwa nguvu zako kamwe huwezi…

Je mke wa Musa alikuwa ni Mweusi?

Je Sipora, mke wa Musa alikuwa Mkushi mwenye ngozi nyeusi?, Kulingana na  Hesabu 12:1? Na ni kwanini Miriamu na Haruni wamkasirikie Musa kwa kumwoa mwanamke Mkushi?, na kama alikuwa Mkushi…

EPUKA KUCHELEWA IBADA.

MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA MAENEO YA IBADA: Sehemu ya 2 EPUKA KUCHELEWA IBADA. Jambo la kuchelewa ibada sio tu linamvunjia Mungu heshima yake, lakini pia linaweza kukupelekea mauti. Utajiuliza hili…

Kutazama Nyakati mbaya ni kufanyaje?.

Kumbukumbu 18:10 “Asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto, wala asionekane mtu atazamaye bao, WALA MTU ATAZAMAYE NYAKATI MBAYA, wala mwenye kubashiri, wala msihiri,11 wala mtu…

Kutazama bao ni kufanya nini?

Kumbukumbu 18:10 “Asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto, wala asionekane mtu ATAZAMAYE BAO, wala mtu atazamaye nyakati mbaya, wala mwenye kubashiri, wala msihiri,11 wala mtu…

KATAA KUWA EUTIKO, WA KUSINZIA IBADANI.

MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA MAENEO YA IBADA: Sehemu ya 1 KATAA KUWA EUTIKO, WA KUSINZIA IBADANI. Kuna mambo ambayo yanaonekana madogo, lakini yana madhara makubwa sana rohoni. Watu hawafahamu kuwa…

Tufanyaje ili tuonekane tunampenda Mungu?

SWALI: Naomba kufahamu kumpenda Mungu kukoje, Je tufanyeje ili tuonekane tunampenda? JIBU: Tofauti na sisi tunavyotafsiri upendo, kwamba ni kuonyesha hisia zilizo nzuri kwa mwingine, Kwamfano kuhurumia, kujali, kuthamini, kuhudumia,…

Ila atapewa mara mia sasa,Ndugu wake(Marko 10:30)

SWALI: Mbona katika Marko 10:30 Bwana Yesu anasema tutapata mara mia ‘wake’? Hii si inatupa uthibitisho kuwa ndoa za mitara ni sawa? JIBU: Tusome kwa ukaribu vifungu vyenyewe; Marko 10:28…

IJUE HEKIMA YA MUNGU KATIKA KUKUINUA KIMAISHA.

Ipo hekima ambayo Mungu anaitumia, pindi anapotaka kututoa katika hatua moja ya kimaisha kwenda nyingine. Kiasili, nafsi zetu sisi wanadamu zinapenda kupokea majibu ya maombi pale tu tunapoomba... Lakini hekima…

Kaanani ni nchi gani kwasasa?

Kaanani ni jina la zamani la nchi za Mashariki ya kati!..Eneo la Kaanani liliundwa na sehemu ya nchi zifuatazo, Nchi ya Israeli yote, pande za Magharibi mwa nchi ya Yordani,…