DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Tofauti kati ya maandiko na Neno ni ipi?

Wapo wanatofautisha maneno haya mawili, na wapo wanayoyaona kama ni kitu kimoja.. Ni kweli Bwana Yesu alituonyesha  kuwa  "maandiko na Neno" la Mungu ni kitu kilekile  kimoja, na ndivyo ilivyo..…

Ni maneno gani Bwana Yesu aliyokuwa anayaandika ardhini? (Yohana 8:7).

Jibu: Tuisome Habari nyenyewe… Yohana 8:3 “Waandishi na Mafarisayo wakamletea mwanamke aliyefumaniwa katika uzinzi, wakamweka katikati. 4 Wakamwambia, Mwalimu, mwanamke huyu amefumaniwa alipokuwa akizini. 5 Basi katika torati, Musa alituamuru…

UNYAKUO WA KANISA UMEPITA LEO!!

“Unyakuo wa kanisa umepita leo!. Hakuna tena toba” Je taarifa hizi zimekushtua??. Hebu jiulize Siku taarifa hizi zitakapokuwa kweli utakuwa katika hali gani? Mpaka sasa, unyakuo bado, haujatokea lakini siku…

Nalikuwa katika Roho, siku ya Bwana?

Nalikuwa katika Roho, siku ya Bwana?

JIWE LILILO HAI.

Kwa kawaida Mawe, hayaishi.. ni vitu visivyo na uhai.. Kwasababu tabia mojawapo ya viumbe hai ni kukua, na nyingine ni kuzaliana na kuwa na hisia (yaani muitikio kwa mazingira ya…

NIFANYE NINI ILI NIPENDWE NA MUNGU?

Ni jambo la kawaida katika familia yoyote, si Watoto wote watakuwa na mahusiano sawa na wazazi wao. Wapo ambao wataonekana kuaminiwa Zaidi ya wengine, wapo ambao watapendwa Zaidi ya wengine,…

Gumegume ni nini? (Isaya 50:7)

Gumegume ni jamii ya miamba ambayo ni migumu sana, inapatikana huko maeneo ya mashariki ya kati sana sana  nchi ya Palestina. Zamani ilitumika katika kutengeneza vifaa, kama nyundo, mashoka, visu,…

Donda-Ndugu ni nini?

Tusome, 2Timotheo 2:16 “Jiepushe na maneno yasiyo na maana, ambayo si ya dini; kwa kuwa wataendelea zaidi katika maovu, 17 na neno lao litaenea kama DONDA-NDUGU. Miongoni mwa hao wamo…

Tofauti kati ya kukana na kusaliti ni ipi?

Kukana ni kitendo cha kumkataa mtu aliyekaribu nawe, kwa hofu/shinikizo Fulani pengine aidha kwa hofu ya kuaibishwa, au kudharauliwa, au kuuliwa au kutengwa, au kuchekwa n.k. Lakini kimsingi sio kwamba…

Matulizo ya mapenzi ni nini? (Wafilipi 2:1).

Jibu: Tusome, Wafilipi 2:1 “Basi ikiwako faraja yo yote katika Kristo, yakiwako MATULIZO YO YOTE YA MAPENZI, ukiwako ushirika wo wote wa Roho, ikiwako huruma yo yote na rehema, 2…