DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Baraka inatoka wapi

Chanzo cha Baraka zote ni Mungu..Na Mungu anaweza kumbariki mtu moja kwa moja kupitia yeye mwenyewe...na anaweza pia kumbariki mtu kupitia mtu mwingine. Kwamfano kwenye Biblia Mungu alimbariki Ibrahimu moja…

Mbinguni ni sehemu gani?

JIBU: Ili tusichanganyikiwe jambo la muhimu  tulinalopaswa kujua ni kuwa Katika biblia Neno “mbinguni” limetumika kuwakilisha sehemu tofauti tofauti tatu. Sehemu ya kwanza ni anga hili ambalo lipo juu yetu:…

JE BIKIRA MARIAMU ALIZAA WATOTO WENGINE?

Biblia imeweka wazi kuwa Mariamu, mama yake Yesu alikuwa na watoto wengine.. Mathayo 13:53 "Ikawa Yesu alipoimaliza mifano hiyo, alitoka akaenda zake. 54 Na alipofika nchi yake, akawafundisha katika sinagogi…

JE BIKIRA MARIAMU ALIKUFA?

Hakuna mahali popote Biblia imerekodi kifo cha Mariamu, wala  hakuna  mahali popote Biblia imerekodi kifo cha Mtume Petro, wala Yusufu mume wake Mariamu, wala Mtume Paulo, wala Mtume Adrea wala…

JE NI KWELI BWANA YESU SIKU YA KURUDI ATAFIKIA ISRAEL

Jambo moja linalowachanga watu wengi wa Mungu, ni kutokujua Ujio wa Yesu utakuwaje. Ujio wa Bwana Yesu umegawanyika katika sehemu kuu 3. nazo ni UJIO WA KWANZA, UJIO WA PILI…

Jehanamu ni nini?

Jehanamu au Jehanum ni Neno lenye chimbuko la  kiyunani Gehenna, ambalo limetafsiriwa kutoka katika lugha ya kiyahudi ge-hinnom Ikiwa na maana bonde la mwana wa Hinomu.. Hili ni eneo lililokuwa…

KANISA NI NINI?

Kanisa ni nini?..kanisa la Mungu ni kitu gani? hili ni swali linalowachanganya watu wengi ikidhaniwa kuwa Kanisa ni  jengo. Lakini hiyo sio maana halisi ya kanisa. Neno kanisa limetokana na…

JE! UNAYO NAFASI MBINGUNI?

Umewahi kujiuliza kwanini Bwana Yesu alisema, Anakwenda kutuandalia makao? (Yohana 14:2), Na kwanini mbinguni kunafananishwa na karamuni?...Ni dhahiri kuwa utaratibu wa maandalizi ya karamu unafanana sana na utaratibu wa kuingia…

NI KWANINI MUNGU HAONEKANI?

(Kwanini Mungu hatumuoni?)....Hili ni swali ambalo karibu kila mtu anajiuliza au alishawahi kujiuliza pengine kipindi Fulani nyuma, kwanini Mungu hajidhihirishi wazi wazi tukamwona kama tunavyoonana sisi kwa sisi?, au kwanini…

KWANINI YESU KRISTO NI MWANA WA DAUDI?

Shalom, Mtu wa Mungu, karibu tujifunze biblia, Jukumu kubwa tulilopewa miongoni mwa mengi ni jukumu la kumfahamu sana YESU KRISTO, Na lengo kuu la kumfahamu sio kwasababu yeye anauhitaji sana…