DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Wahuni ni watu gani katika biblia?

Jibu: Kibiblia “Mhuni” ni mtu anayefanya mambo yaliyo kinyume na maadili. Kwamfano mtu anayetanga kuzaa nje na ndoa, huyo kibiblia ni mhuni. Katika biblia neno Mhuni/wahuni limeonekana mara moja tu!…

HAMA KUTOKA GIZANI

Je unajua ni kwanini watu watahukumiwa? Hebu tusome maandiko yafuatayo.. Yohana 3:19 “Na hii ndiyo hukumu; ya kuwa NURU IMEKUJA ULIMWENGUNI, NA WATU WAKAPENDA GIZA KULIKO NURU; kwa maana matendo…

Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake

SWALI: Biblia inaposema “Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake”, ina maana gani? Isaya 53:5 “Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu…

Nimempa Shetani watu hao, ili wafundishwe wasimtukane Mungu.

SWALI: Naomba kufahamu maudhui ya mstari huu, 1Timotheo 1:20 “Katika hao wamo Himenayo na Iskanda, ambao nimempa Shetani watu hao, ili wafundishwe wasimtukane Mungu”. JIBU: Awali ya yote, kabla ya…

TOFAUTI YA UBATIZO WA YOHANA NA UBATIZO WA BWANA YESU

Jina la Bwana na Mwokozi Yesu libarikiwe. Karibu tujifunze biblia. Je kuna utofauti wowote ya Ubatizo wa Yohana na ule wa Bwana Yesu?, Jibu ni kwamba hakuna utofauti wowote, ubatizo…

Azidishaye mali yake kwa riba, Humkusanyia mtu awahurumiaye maskini.

SWALI: Nini maana ya huu mstari;  Mithali 28:8 “Yeye azidishaye mali yake kwa riba na faida, Humkusanyia mtu awahurumiaye maskini. JIBU: Huyo anayezungumziwa azidishiye mali zake kwa riba na faida…

Utawanyiko wa Wayunani ulikuwaje?

Utawanyiko wa Wayunani unaozungumziwa katika Yohana 7:35 ulikuwaje? Jibu: Tuanzie kusoma mstari wa 31, ili tupate maana kamili.. Yohana 7:31 “Na watu wengi katika mkutano wakamwamini; wakasema, Atakapokuja Kristo, je!…

YESU HAYUPO KATIKA MAZINGIRA YALEYALE TU SIKUZOTE, USIJISAHAU.

Bwana Yesu asifiwe, karibu tena tujifunze maneno ya uzima. Leo nataka tuone jambo ambalo, wengi wetu tuliookoka hatulifahamu kuhusiana na tabia ya Bwana wetu Yesu Kristo. Ili tuelewe vema kiini…

SHAMBA HUWA HALIMTAMBUI WALA KUMSUBIRIA MKULIMA.

Karibu tujifunze hekima, zilizo katika Neno la Mungu, Tukisoma Mithali 4:30-34 inasema.. 30 “Nalipita karibu na shamba la mvivu, Na shamba la mizabibu la mtu asiye na akili.31 KUMBE! LOTE…

MAZUNGUMZO MABAYA HUHARIBU TABIA NJEMA.

Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia, Neno la Mungu wetu.. Je umewahi kujua  kuwa mazungumzo mabaya, yanaharibu tabia njema?.. Biblia inasema katika. 1Wakorintho 15:33 “Msidanganyike; Mazungumzo mabaya…