DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Yohana Mbatizaji anaigeuzaje mioyo ya mababa iwaelekee watoto?

Malaki 4:5 kama inasema " angalieni nitawapelekea Eliya Nabii, kabla haijaja siku ile ya BWANA, iliyo kuu na ya kuogfya. Naye ataigeuza mioyo ya Baba iwaelekee watoto wao na mioyo ya…

YOHANA MBATIZAJI

Yohana Mbatizaji alizaliwa huko Uyahudi miezi michache kabla ya kuzaliwa Mwokozi wa Ulimwengu Yesu Kristo, Baba yake mzazi aliitwa Zekaria aliyekuwa Mlawi, ambaye alikuwa ni kuhani, akihudumu katika Nyumba ya…

Je! Ni Eliya mwenyewe atarudi au ni roho yake?

Tofauti na inavyodhaniwa na wengi kuwa Nabii Eliya mwenyewe ndiye atakayerudi.Ili kuelewa vizuri juu ya jambo hilo hebu tafakari mfano ufuatao. Ametokea kiongozi mmoja mashuhuri sana wa mambo ya kisiasa…

NABII ELIYA

Historia inaonesha Nabii Eliya aliishi karne ya 9 kabla ya Kristo,  Ni Nabii aliyeshindana sana na Utawala wa kipagani wa Mfalme Ahabu wa Israeli na mkewe Yezebeli. kadhalika Biblia hairekodi…

MANENO YA MUNGU YANAPINDULIWAJE?

Siku moja nilikuwa ninamsikiliza Mh.Raisi akizungumza na wafanyabiashara Ikulu, nikapata kitu ambacho kiuhalisi ndio kinachoendelea katika Ukristo isipokuwa tu ni katika upande mwingine wa shilingi. Kwa kawaida mimi sio mfuatiliaji…

HATUA ZA ROHO MTAKATIFU KATIKA KUTUONGOZA.

Jina la Bwana Yesu Kristo, libarikiwe… pamoja na kazi nyingine nyingi anazozifanya Roho Mtakatifu juu ya mtu aliyemwamini Yesu Kristo, nyingine ni kumwongoza katika kuijua kweli yote…Hilo tunalisoma katika.. Yohana…

ACHENI MJUE YA KUWA MIMI NI MUNGU.

Shalom, mtu wa Mungu natumai u buheri wa afya kwa pumzi unayopewa na mwenyezi Mungu. Leo kwa furaha ya Bwana nakukaribisha tuutafakari ukuu wa Mungu na matendo yake jinsi yalivyo…

DHAMBI ISIYO NA MSAMAHA.

Ipo dhambi ya Mauti, Hiyo mtu aliye mkristo akiitenda kama Bado Neema ya Mungu ipo juu yake, atakufa lakini ataokolewa siku ya kiyama. Mfano Musa!, alimkosea Mungu, akasamehewa kosa lile…

MIISHO YA ZAMANI.

1Wakorintho10:11 “Basi mambo hayo yaliwapata wao kwa jinsi ya mifano, yakaandikwa ili kutuonya sisi, tuliofikiliwa na miisho ya zamani.” Shalom ndugu, Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe milele. Nakukaribisha tuyatafakari…

MATUMIZI YA DIVAI.

Shalom, Jina la Bwana wetu Yesu Kristo, libarikiwe. Karibu tujifunze Neno la Mungu Kama inavyojulikana na wote kuwa Divai ina kilevi…Lakini swali linakuja kama ina kilevi kwanini Bwana Yesu aligeuza…