DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

UMEONDOLEWA DHAMBI?

Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia Neno la Mungu wetu lililo taa ya miguu yetu na mwanga wa njia yetu. (Zab. 119:105). Kuna tofauti…

JE UNAMTUMIKIAJE BWANA?

Mafunzo maalumu kwa Wanawake. Karibu tujifunze Biblia, Je Bwana alishakufanyia muujiza wowote katika maisha yako?..Na ukaufurahia?.. Je baada ya hapo ulimfanyia nini Bwana?.. Je uliishia kushukuru tu na kuendelea na…

Petro na Adrea waliitwa na Bwana wakati gani?

Swali: Katika kitabu cha Luka 5:1-7 tunaona kuwa Bwana Yesu aliwakuta Petro na Andrea ufukweni na akawaita, lakini tukirejea kwenye Yohana 1:35-42 tunasoma kuwa aliwaita wakati wapo kwa Yohana Mbatizaji?..…

Manyoyota ni nini (Ayubu 37:6)

Manyoyota ni neno lingine la “manyunyu”. Manyunyu ya mvua kwa lugha nyingine yanaitwa “manyoyota” Ayubu 37:6 “Kwani huiambia theluji, Anguka juu ya nchi; Na vivyo manyonyota ya mvua, Na hayo…

Kuguguna maana yake nini? (Ayubu 30:3 )

Neno “kuguguna” linapatikana mara moja tu katika kitabu cha Ayubu 30:3 na maana yake ni “kutafuna” Ayubu 30: 2 “Naam, uwezo wa mikono yao utanifaa nini? Watu ambao nguvu zao…

NI INJILI GANI UNAHUBIRI?

Masomo maalumu kwa watumishi wa Mungu (Wahubiri). Je umebeba ushuhuda gani katika injili yako?. Tujifunze jambo kwa Yohana Mbatizaji.. Yohana 10:40 “Akaenda zake tena ng'ambo ya Yordani, mpaka mahali pale…

Nini maana ya Wagalatia 6:1 inaposema ‘ukijiangalia nafsi yako usije ukajaribiwa wewe mwenyewe’

Wagalatia 6:1 'Ndugu zangu, mtu akighafilika katika kosa lo lote, ninyi mlio wa Roho mrejezeni upya mtu kama huyo kwa roho ya upole, ukijiangalia nafsi yako usije ukajaribiwa wewe mwenyewe'.…

DALILI TISA (9) ZA PEPO KUWEPO NDANI YA MTU.

Hizi ni dalili 9 za mtu mwenye pepo. 1.Hofu. Ukiona kuna hofu ndani yako isiyoisha, kila wakati unaishi katika hali ya  wasiwasi wa kitu usichokijua wala usichokiona, kila wakati unapata…

ZIJUE TABIA ZA AHADI ZA MUNGU KWA MWAMINIO.

Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo. Karibu katika kuyatafakari maneno ya uzima. Leo tutaona Tabia Moja ya ahadi za Mungu, na Kwa kuijua hiyo basi itakutia moyo wewe…

Je Mungu anaketi katika giza? (1Wafalme 8:12)

Swali: Maandiko yanasema Mungu anaketi katika Nuru (1Timotheo 6:16 na Yohana 1:5) lakini yanasema tena Mungu anakaa kwenye giza (1Wafalme 8:12) Je yanajichanganya?. Jibu: Tuisome mistari hiyo kwanza kabla ya…