DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

USHUHUDA WA RICKY:

Ushuhuda huu utakutoa sehemAu moja kiimani hadi nyingine. Mwinjilisti mmoja wa kimarekani aAjulikanaye kama Rick Jonyer alikuwa akiomba kwa muda wa miaka 26 Mungu amnyakue mpaka mbingu ya tatu kama…

MTAIFAHAMU KWELI NAYO HIYO KWELI ITAWAWEKA HURU.

Mtu anayevamiwa na nguvu za giza, kama hajaamua yeye mwenyewe kutaka kuwa huru na hizo roho, hata aombeweje hawezi kuwa huru na hizo roho, hakuna nguvu yoyote iliyokubwa ndani ya…

KARAMU YA MWANA-KONDOO.

Sherehe za siku hizi zinatupa picha kamili jinsi mambo yatakavyokuja kuwa huko mbeleni baada ya unyakuo kupita. Kama tunavyofahamu leo hii hakuna sherehe yoyote ya arusi utakayokwenda bila mwaliko wowote,…

KAENI NDANI YANGU NAMI NDANI YENU.

Shalom mwana wa Mungu, karibu tujifunze Neno la Mungu, ambapo leo tutajifunza kwa ufupi juu ya somo lenye kichwa kinachosema “KAENI NDANI YANGU NAMI NDANI YENU”..Maneno hayo aliyazungumza Bwana Yesu,…

KUNDI LA MALAIKA WALETAO MABAYA.

Pale tu mtu anapogeuka na kuacha maisha yake ya dhambi, na kukusudia kutoka rohoni kumfuata Kristo siku zote za maisha yake, kisha akabatizwa katika ubatizo sahihi wa maji mengi na…

JE! ULEVI NI DHAMBI?.

Ulevi ni dhambi?...Shalom, mtu wa Mungu, karibu tujifunze Neno la Mungu, ambapo leo tutajifunza kwa ufupi juu ya unywaji wa Pombe (au ULEVI). Kumekuwa na mgawanyiko wa makundi mengi katikati…

JIANGALIENI BASI JINSI MSIKIAVYO;

Mwalimu mmoja aliwapa wanafunzi wake fumbo hili, akawaambia watu wawili walikuwa wanatembea barabara wakielekea katika shughuli zao, na mvua ilipoanza kunyesha kwa Nguvu mtu mmoja hakunyeshewa na mvua ile..je! mnaweza…

IMANI YENYE MATENDO;

Waebrania 11: 3 “Kwa imani twafahamu ya kuwa ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu, hata vitu vinavyoonekana havikufanywa kwa vitu vilivyo dhahiri”. Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu…

MWAMBA WETU.

Wana wa Israeli walipotoka nchi ya Misri, baada ya miezi kadhaa tu walifika mahali PALIPOITWA KADESH-BARNEA, ilikuwa safari ya mwendo mfupi tu, kabla ya kuingia katika nchi yao ya ahadi.…

JIFANYIE RAFIKI KWA MALI YA UDHALIMU.

Shalom! Mwana wa Mungu, Karibu tujifunze Neno la Mungu, ambapo leo tutajifunza somo lenye kichwa kinachosema “Tujifanyie rafiki kwa Mali ya udhalimu”. Somo hili linatoka katika kitabu cha Luka 16:1-10,…