DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Safari ya mbinguni.

Safari ya kwenda mbinguni ni safari isiyo na siku ya kupumzika. Kama vile moyo unavyodunda bila kusimama kwa miaka na miaka...Ndivyo safari ya Mbinguni ilivyo.. Ni mwendelezo kila kukicha, tukilala,…

JIOKOE WEWE NA NYUMBA YAKO.

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze Neno la Mungu ambalo ndio taa ya miguu yetu na mwana uiongozayo njia yetu (Zab.119:105). Katika safari ya Imani usisahau kamwe…

IKABODI MAANA YAKE NI NINI?

Ikabodi maana yake ni “Utukufu umeondoka” Hili ni jina ambalo alipewa mtoto wa Finehasi na mke wake siku alipokuwa anajifungua, na hiyo ni baada ya kusikia  Mume wake amekufa katika…

AKAMSHIKA MKONO YULE KIPOFU, AKAMCHUKUA NJE YA KIJIJI.

Shalom. Marko 8:23-26 Inatuambia Yesu alipokutana na Yule kipofu kule Bethsaida, Hakumponya palepale kama ilivyokuwa desturi yake ya kuponya watu wote wanaomfuata, bali biblia inatuambia alimchukua kwa kumshika mkono na…

JE UDHAIFU WANGU UNAWEZA KUZUIA INJILI?

Je udhaifu au ulemavu wangu unaweza kuzuia watu kumwamini Yesu? Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia. Lipo swali moja muhimu sana linaloulizwa na wengi?..Je kama mimi…

WE HAVE A RESPONSIBILITY TO LEAD CAPTIVITY CAPTIVE.

2 Corinthians 10:3-4 Kjv 3 For though we walk in the flesh, we do not war after the flesh: 4 (For the weapons of our warfare are not carnal, but mighty through…

Mto Frati upo nchi gani, Umuhimu wake katika biblia ni upi?

Mto Frati upo nchi gani,  na Umuhimu wake katika biblia ni upi, kwanini utajwe sana? Mto Frati ni moja ya mito mikubwa na mirefu iliyopo Mashariki ya kati, Mto mwingine…

MTO YORDANI UKO NCHI GANI KWA SASA?

Mto Yordani uko nchi gani kwa sasa duniani? Mto Yordani upo katika eneo la Mashariki ya kati, ni mto ambao unasimama kama mpaka wa mataifa mbalimbali, Ikiwemo Lebanoni, Syria, Israeli,…

Mlima sinai upo nchi gani? Na Je unaijua Sinai yako ya rohoni?

Mlima sinai upo nchi gani? Na Je unaijua Sinai yako rohoni? Mlima Sinai, au kwa jina lingine unajulikana kama Mlima Horebu, upo katika Rasi ya Sinai, Nchi ya Misri..Tazama katika…

Neno Korbani linamaanisha nini? (Marko 7:11)

SWALI: Neno “Korbani” linalozungumziwa katika Marko 7:11 lina maana gani? JIBU: Ili tupate picha nzuri ya Neno hilo embu tusome sehemu zote mbili zinazozungumzia jambo hilo hilo moja. Mathayo 15…