DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

SAUTI NYUMA YA ISHARA.

 Mungu amekuwa akisema na watu mara nyingi kwa kutumia ishara, kwa kusudi la kuonya au kuhadharisha watu wake jambo ambalo litakuja kutokea endapo watu hawatatubu, wageuke na kuziacha dhambi zao.…

MAJARIBU MATATU YA YESU KRISTO

Majaribu matatu Yesu aliyojaribiwa na shetani akiwa njikani siku 40, yanaweza yakachukuliwa kivyepesi lakini ukiyachunguza kwa undani yana tafsiri kubwa sana na maana kubwa sana katika maisha ya kila mkristo…

Amin, nawaambia, Kizazi hiki hakitapita..

Mathayo 24:32-35 "  Basi kwa mtini jifunzeni mfano; tawi lake likiisha kuchipuka na kuchanua majani, mwatambua ya kuwa wakati wa mavuno u karibu; 33 nanyi kadhalika, myaonapo hayo yote, tambueni ya…

MTI WA UZIMA NA MTI WA MAARIFA.

Mwanzo 2:8-9 "Bwana Mungu akapanda bustani upande wa mashariki wa Edeni, akamweka ndani yake huyo mtu aliyemfanya. 9 Bwana Mungu akachipusha katika ardhi kila mti unaotamanika kwa macho na kufaa kwa…

UZAO WA NYOKA.

Kizazi au Uzao wa Nyoka ni upi kwa mujibu wa maandiko? Leo tutauzunguzia ule uzao wa nyoka... Ni vizuri tuanze kujifunza kula vyakula vigumu pia ili tukue tuzidi kumjua Kristo…

MEZA YA BWANA, NA KUTAWADHANA MIGUU.

Moja ya maagizo muhimu ambayo Bwana wetu Yesu Kristo aliyatoa kwa wanafunzi wake na kwa kanisa kwa ujumla ni kitendo cha kushiriki meza ya Bwana, pamoja na wakristo kutawadhana miguu…

FASHION! NI DHAMBI KWA BINTI ZA MUNGU.

Bwana YESU ni yeye yule jana, na leo na hata milele hajabadilika wala hana kigeugeu, na NENO lake ni lile lile. Kama maandiko yanavyosema mwanamke wa kikristo anapaswa avae mavazi…

KWANINI YESU KRISTO ALIKUJA DUNIANI?

Tukisoma kitabu cha mwanzo 1, Biblia inasema Hapo mwanzo, Mungu aliziumba mbingu na nchi. Lakini tunaona hakueleza aliumbaje umbaje hii mbingu na nchi yaani, miti, jua, mwezi, milima, wanyama, mwanadamu…

UNAWAFAHAMU MANABII WA UONGO?

Je! Manabii wa uongo ni wapi? Mathayo 7:15 "Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali. 16 Mtawatambua kwa matunda yao.…

EPUKA MUHURI WA SHETANI

Kutoka 21:2-6 " Ukimnunua MTUMWA wa Kiebrania, atakutumikia muda wa miaka sita; mwaka wa saba atatoka kwako HURU bure. 3 Kwamba aliingia kwako peke yake tu, atatoka hivyo peke yake;…