DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Mahali pa juu palikuwa ni wapi kama tunavyosoma katika biblia?

“Mahali pa juu” ni mahali palipoinuka ambapo watu walikwenda kutengeneza madhabahu na kutoa dhabihu zao.. Mahali hapo panaweza kuwa ni mlimani au mahali  penye mwinuko. Ilikuwa ni heshima kwa Mungu…

KANSA/SARATANI INATIBIKA.

Ni kweli Mungu amewapa wanadamu maarifa, ili yale yanayowezekana katika uwezo wao yatendeke, lakini  ipo wazi kuwa si kila tatizo mwanadamu anaweza kulitatua haijalishi ataonyesha bidii kubwa kiasi gani. Yapo…

JE! NA SISI NI SHABA ILIAYO NA UPATU UVUMAO?

Jina la Bwana wetu na mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe daima.. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Mtume Paulo aliandika hivi; 1 Wakorintho 13:1 “Nijaposema kwa lugha za wanadamu na za…

USIWE MSIKIAJI TU! BALI MTENDAJI.

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia.. Neno la Mungu wetu linafananishwa na vitu vingi katika biblia, kuna mahali linafananishwa na “Taa” (Zab.119:105)”, sehemu nyingine linafananishwa na…

Baghairi ni nini kama tunavyosoma katika 2Wakorintho 11:28?

Baghairi ni neno la kiunganishi lenye maana ya… “Mbali na”. Kwamfano nikitaka kusema.. “Mbali na yote ninayoyapitia bado nitasimama imara katika Imani”..naweza kuisema sentensi hiyo kama ifuatavyo “Baghairi ya yote…

Je! Mfalme Abiya na Mfalme Asa walikuwa ni ndugu?

Katika 1Wafalme 15:2 na 1Wafalme 15:10 tunaona wote mama yao ni mmoja, ambaye ni Maaka, binti Absalomu. Lakini Mstari wa 8 unasema ni mtu na mwanawe. Jibu: Tusome, 1Wafalme 15:1…

WALIYATWAA MAVAZI YAKE, WAKAFANYA MAFUNGU MANNE,

Yohana 19:23 “Nao askari walipomsulibisha Yesu, waliyatwaa mavazi yake, wakafanya mafungu manne, kwa kila askari fungu lake; na kanzu nayo. Basi kanzu ile haikushonwa, ilikuwa imefumwa yote pia tangu juu.…

HAKUNA MTU ANIONDOLEAYE, BALI MIMI NAUTOA MWENYEWE

Yapo mambo mengi Bwana Yesu aliyoyafanya ambayo katika akili za kawaida, ni ngumu kuaminika. Yapo mengi lakini leo tulitazame moja kuu, ambalo hakuna mwanadamu yeyote wala kiumbe chochote kinachoweza kufanya.…

Zile Rangi saba za Upinde wa Mvua zinawakilisha nini?

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia, maneno ya Mungu wetu aliye juu..kwasababu maneno yake ndio Mwanga wa njia yetu ya kuelekea mbinguni, na Taa iongozayo miguu…

Nondo ni nini kama tunavyosoma katika biblia?

Neno hili utalikuta sehemu nyingi sana katika biblia,  kwa mfano hivi ni baadhi ya vifungu ambavyo utakutana na neno hilo; Ayubu 13:28 “Nijapokuwa ni kama kitu kilichooza, kinachosinyaa, Mfano wa…