DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

MIKONO YENU IMEJAA DAMU.

Sulemani kwa uvuvio wa Roho alipewa kujua  kati ya mambo sita yanayomchukiza Mungu, mojawapo ni mikono imwagayo damu za watu.(Mithali 6:17). Na sehemu nyingi sana katika maandiko utaona Bwana akiwakemea…

NJIA NYINGINE YA KUPATA REHEMA NA KIBALI KUTOKA KWA MUNGU.

Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo, libarikiwe. Zipo njia nyingi za kuvuta rehema za Mungu, juu yako.. baadhi ya hizo ni kuwa Mwombaji, mtoaji, na mtu wa kusamehe.…

VIACHENI VYOTE VIKUE HATA WAKATI WA MAVUNO.

Jina la Bwana Yesu Kristo, Mkuu wa Uzima, libarikiwe.. karibu tujifunze biblia Neno la Mungu wetu, ambalo ni taa iongozayo miguu yetu na mwanga wa njia yetu (Zab.119:105). Je unajua…

Kuvyaza ni nini katika biblia? (Ayubu 21:10).

Ayubu 21:10 “Fahali wao HUVYAZA wala hapungukiwi na nguvu; Ng'ombe wao mke huzaa, asiharibu mimba”. Kuvyaza ni lugha ya “kuzaliana” inayotumika kwa Wanyama wa kiume. Badala ya kusema "Ng’ombe dume…

Kiyama ni nini?

Kiyama ni nini?

NA JINA LAKE AITWA, NENO LA MUNGU.

Ufunuo  19:11-13 Kisha nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama, farasi mweupe, na yeye aliyempanda, aitwaye Mwaminifu na Wa-kweli, naye kwa haki ahukumu na kufanya vita. Na macho yake yalikuwa kama mwali…

VITABU VYA BIBLIA: Sehemu ya 13 (Kitabu cha Hosea).

Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo, libarikiwe!…karibu tujifunze Biblia, Neno la Mungu wetu. Neno la Mungu ni Taa iongozayo hatua za miguu yetu na Mwanga unaoongoza Njia yetu.…

Kwa maana yule mume asiyeamini hutakaswa katika mkewe;

SWALI: Je ni kweli, mpagani akioa au akiolewa na yule aliyeamini, na yeye pia anahesabiwa kuwa mkamilifu kulingana na mstari huu? 1Wakorintho 7:13 Na mwanamke, ambaye ana mume asiyeamini, na…

Tofauti kati ya maandiko na Neno ni ipi?

Wapo wanatofautisha maneno haya mawili, na wapo wanayoyaona kama ni kitu kimoja.. Ni kweli Bwana Yesu alituonyesha  kuwa  "maandiko na Neno" la Mungu ni kitu kilekile  kimoja, na ndivyo ilivyo..…

Ni maneno gani Bwana Yesu aliyokuwa anayaandika ardhini? (Yohana 8:7).

Jibu: Tuisome Habari nyenyewe… Yohana 8:3 “Waandishi na Mafarisayo wakamletea mwanamke aliyefumaniwa katika uzinzi, wakamweka katikati. 4 Wakamwambia, Mwalimu, mwanamke huyu amefumaniwa alipokuwa akizini. 5 Basi katika torati, Musa alituamuru…