DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

MKUU WA ANGA.

Mkuu wa anga ni nani? Shalom karibu tuongeze maarifa ya kumjua Mungu wetu..na sio tu kumjua Mungu wetu bali hata kumjua adui yetu…Hata wanyama wa porini wasio na akili huwa…

Je! Ni halali kuoa/kuolewa na mtu ambaye tayari anao watoto?

SWALI: Shalom Naomba kuuliza Je, ni halali kwa mimi kumuoa binti ambaye alishazaa na mtu mwingine bila kuishi nae Je, naweza kufunga naye ndoa ya kikristo na ikawa halali? JIBU:…

WAZAZI WA YOHANA NA YAKOBO.

Shalom, Ni siku nyingine Bwana ametupa kuiona kwa neema zake, hivyo nakukaribisha tuzidi kuyatafakari maneno ya uzima.. Leo tutajifunza juu ya wazazi wa mitume wawili wa Yesu, (Yohana na Yakobo)..Na…

LAKINI HAITAKUWA HIVYO KWENU.

Lakini haitakuwa hivyo kwenu. Shalom, Karibu tuzidi tujifunze Neno la Mungu. Mathayo 20: 24 “Na wale kumi waliposikia, waliwakasirikia wale ndugu wawili. 25 Lakini Yesu akawaita, akasema, Mwajua ya kuwa…

HISTORIA YA ISRAELI.

Moja ya maswali yanayoulizwa na wengi ni kutaka kujua juu ya Historia ya Israeli/Taifa la Israeli/Wana wa Israeli..Lakini kiuhalisia historia ya Israeli ipo kwenye biblia. Ukisoma kitabu cha Mwanzo, Kutoka,…

HALI ZETU JINSI ZINAVYOWEZA KUATHIRI UTOAJI WETU.

Mithali 11:24 “Kuna atawanyaye, lakini huongezewa zaidi; Kuna azuiaye isivyo haki, lakini huelekea uhitaji”. Shalom, Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tena tuyatafakari maandiko. Kuna kanuni Mungu kaziweka…

MAUTI YA PILI NI NINI?

Mauti ya pili ni nini?.. Ni  mauti inayofuata baada ya hii mauti ya kwanza...Mauti ya kwanza ni pale roho ya Uhai inapoutoka mwili..Yaani pale tu Roho inapotengana na mwili hiyo…

NGUVU ILIYOPO KATIKA MAAMUZI.

Nguvu iliyopo katika maamuzi. Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujikumbushe Biblia… Leo kwa Neema za Bwana tutajikumbusha mambo ambayo tulishawahi kujifunza huko nyuma..Kwasababu biblia inatufundisha hivyo katika…

Roho, Nafsi, na Mwili vina utofauti gani?

Roho, Nafsi, na Mwili, Je! vina tofauti gani? JIBU: Mwanadamu ameumbwa katika pande kuu mbili, Upande wa kwanza unajulikana kama utu wa ndani, na upande wa pili unajulikana kama utu…

Je! Ni sahihi kuoa/kuolewa na mtu uliyemzidi umri?

Je Kwa mwanaume ni sahihi kuoa mtu uliyemzidi umri?..Na kwa upande wa mwanamke ni sahihi kuolewa na mwanaume uliyemzidi umri? (kuolewa na wanaume vijana)..Je ndoa za jinsia moja ni ishara…