DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

MATUNDA YAPATANAYO NA TOBA!

Luka 3:7 ‘’Basi, aliwaambia makutano ya wale waliomwendea ili awabatize, Enyi wazao wa nyoka, ni nani aliyewaonya ninyi kuikimbia hasira itakayokuja? 8 Basi, TOENI MATUNDA YAPATANAYO NA TOBA; wala msianze…

NINAJUA MAWAZO NIKUWAZIAYO:

Shalom mpendwa wa Bwana, karibu katika kuyafakari maandiko matakatifu, Na leo tutajifunza somo ambalo tunaweza kuliona nyuma wa wana wa Israeli kukaa Babeli miaka 70, Ni kwanini Mungu aliamua kuweka…

JE! UNA MASIKIO YANAYOSIKIA?

Yohana 2:13 ‘’Na Pasaka ya Wayahudi ilikuwa karibu; naye Yesu akakwea mpaka Yerusalemu. 14 Akaona pale hekaluni watu waliokuwa wakiuza ng'ombe na kondoo na njiwa, na wenye kuvunja fedha wameketi.…

JE! UNA MASIKIO YANAYOSIKIA?

Yohana 2:13 ‘’Na Pasaka ya Wayahudi ilikuwa karibu; naye Yesu akakwea mpaka Yerusalemu. 14 Akaona pale hekaluni watu waliokuwa wakiuza ng'ombe na kondoo na njiwa, na wenye kuvunja fedha wameketi.…

NINI MAANA YA KUISHI KWA KUUKOMBOA WAKATI?.

Shalom mwana wa Mungu, ikiwa Mungu amekupa neema ya kuiona siku hii ya leo, basi usipuuze kujifunza ni kitu gani anataka kutoka kwako leo?, Kukutana na ujumbe huu si kwa…

CHANZO CHA MAMBO.

Jina kuu la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. karibu tujifunze Neno la Mungu ambalo ndio taa iongozayo njia zetu. Biblia inasema “Mjue sana Mungu ili uwe na Amani (Ayubu 22:21)”..Siku…

WATAMTAZAMA YEYE AMBAYE WALIMCHOMA;

Jina Bwana wetuYesu libarikiwe. Ni siku nyingine tena Bwana ametupa neema kuiona hivyo nakukaribisha ndugu popote pale ulipo tushiriki pamoja Baraka Bwana alizotuandalia leo. Tukisoma Zekaria 12:9-14, inasema.  “ 9…

WATAMTAZAMA YEYE AMBAYE WALIMCHOMA;

Jina Bwana wetu Yesu libarikiwe. Ni siku nyingine tena Bwana ametupa neema kuiona hivyo nakukaribisha ndugu popote pale ulipo tushiriki pamoja Baraka Bwana alizotuandalia leo. Tukisoma Zekaria 12:9-14, inasema.  “…

MAANDALIZI YA UJENZI WA HEKALU LA TATU YAPO TAYARI.

Jicho la Mungu kidogo kidogo linaanza kuondoka kwa mataifa na kurejea Israeli. Wakati wowote Hekalu la tatu nitaanza kujengwa pale Yerusalemu kwani maandalizi yote yapo tayari.Kilichobaki ni amri tu kutolewa,…