DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

NENO LA MUNGU NI DAWA ILIYO TOFAUTI NA DAWA NYINGINE.

Neno la Mungu au kwa jina lingine linaitwa Gombo, ni dawa inayoponya maisha ya mtu kwa ujumla.Tofauti na Dawa nyingine, ambazo zinaweza kuishia kuponya mwili tu, na baada ya hapo…

MTU ASIYE PAMOJA NAMI YU KINYUME CHANGU.

Jina kuu la Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe…Karibu tena tujifunze maandiko…kwa kuwa jukumu kuu tulilonalo kila siku ni kumjua sana Yesu Kristo mwana wa Mungu na kuhakiki kila siku ni…

Ukweli dhidi ya uongo.

JIHADHARI NA UONGO WA SHETANI.

Kwanini kila nikitaka kusali naingiwa na uvivu?

SWALI: Kwanini kila nikitaka kusali naingiwa na uvivu, au nikitaka kusoma Neno ninapatwa na usingizi je! hizi ni nguvu za giza zinazisonga au ni nini?. JIBU: Mtu yeyote aliyeokoka mbele…

MTUMWA SI MKUU KULIKO BWANA WAKE.

Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe. Yohana 13:13 ‘Ninyi mwaniita, Mwalimu, na, Bwana; nanyi mwanena vema, maana ndivyo nilivyo. 14 Basi ikiwa mimi, niliye Bwana na Mwalimu, nimewatawadha miguu,…

LOLOTE ATAKALOWAAMBIA FANYENI.

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo, libarikiwe daima. Nakukaribisha katika kuyatafakari maneno mazuri ya Bwana wetu. Kama tukisoma kitabu cha Yohana, sura ile ya pili tunaona, habari ile ya Yesu…

TOA SADAKA ISIYO NA KASORO KWA BWANA.

Toa sadaka isiyo na kasoro kwa bwana. Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo, libarikiwe!. Karibu tena tujifunze biblia..Hatuna budi kufanya hivyo kila siku..maadamu tumepewa uhai. Leo tutaendelea kujifunza umuhimu wa…

JE WAJUA?

Je Wajua kuwa Yesu ni Mungu bofya hapa kujua zaidi >> Yesu Je Wajua kwamba dunia itateketezwa kwa moto na si kwa maji tena? >> Dunia Je Wajua kuwa tunaishi…

JE! WATOTO WACHANGA WANAWEZA KUHUKUMIWA NA KUTUPWA MOTONI.

Je! watoto wachanga wanaweza kuhukumiwa na kutupwa motoni. Biblia inatuonyesha kuwa watoto wachanga wanaweza kushiriki adhabu za watu wengine waovu wakiwa hapa hapa duniani kama tu vile wanavyoweza kushiriki baraka…

HERI YULE ATAKAYEKULA MKATE KATIKA UFALME WA MUNGU.

Luka 14:15 “Basi aliposikia hayo mmojawapo wa wale walioketi chakulani pamoja naye alimwambia, Heri yule atakayekula mkate katika ufalme wa Mungu”. Enzi za biblia chakula kilichokuwa kinapewa heshima kubwa zaidi…