DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Nini maana ya “Atamwangamiza kwa ufunuo wa kuwapo kwake”. (2Wathesalonike 2:8).

Jibu: Tusome, 2 Wathesalonike 2:8 “Hapo ndipo atakapofunuliwa yule ASI ambaye Bwana Yesu atamwua kwa pumzi ya kinywa chake, na kumwangamiza KWA UFUNUO WA KUWAPO KWAKE” Andiko hili linamhusu Mpinga…

Kuna tofauti gani kati ya ‘Mungu’ na ‘Mola’?

Swali: Je kuna tofauti gani ya Mola na Mungu, na je sisi wakristo ni sahihi kutumia Jina Mola badala ya Mungu? Jibu: Neno Mola, limeonekana mara kadhaa katika biblia… Matendo…

Afadhali mtu akutwe na dubu aliyenyang’anywa watoto wake.

Mithali 17:12 “Afadhali mtu akutwe na dubu aliyenyang'anywa watoto wake, Kuliko na mpumbavu katika upumbavu wake”. Mpumbavu kibiblia ni mtu yeyote ambaye amekataa sheria ya Mungu na Maarifa. Yaani kwa…

Tajiri na maskini hukutana pamoja; BWANA ndiye aliyewaumba wote wawili.

SWALI: Nini maana ya huu mstari?  Mithali 22:2 Tajiri na maskini hukutana pamoja;  BWANA ndiye aliyewaumba wote wawili. JIBU: Pamoja na kwamba kutakuwa na kutokuelewana baina ya makundi haya ya…

Je! biblia inajichanganya katika 1Petro 2:13 na Matendo 5:29.

Swali: Katika 1Petro 2:13 Tumeambiwa tutii kila kitu tunachoamriwa na wafalme, lakini katika Matendo 5:29, tunaona Petro huyo huyo hawatii wenye mamlaka, anasema imetupasa kumtii Mungu kuliko wanadamu..Je hapo panakaaje?…

Mambo yale yaliyo mbali, na yale yaendayo chini sana,

SWALI: Je! maneno tunayoyasoma katika Mhubiri 7:24, yana maana gani? Mambo yale yaliyo mbali, na yale yaendayo chini sana, ni mtu yupi awezaye kuyatafuta? JIBU:  Hapo Kuna vitu viwili..  1)…

SEMA KWA LUGHA NYINGINE.

Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze na kuyatafakari maandiko pamoja. Leo napenda tujifunze juu ya lile tukio maarufu lililotokea siku ile ya Pentekoste, ambapo tunasoma…

HUDUMA YA MALAIKA WAWILI.

Nakusalimu katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo, ni wasaa mwingine tena Bwana ametupa neema ya kuutafuta uso wake. Karibu tujifunze Neno la Mungu. Lipo funzo kubwa sana Bwana anatufundisha…

NIMEAZIMIA KUWAKUSANYA MATAIFA. NIPATE KUWAMWAGIA GHADHABU YANGU

Sefania 3:8 “Basi ningojeni, asema Bwana, hata siku ile nitakapoondoka kuteka mateka; maana nimeazimia kuwakusanya mataifa, ili nizikutanishe falme, nipate kuwamwagia ghadhabu yangu; naam, ukali wote wa hasira yangu; kwa…

Konzo la Ng’ombe ni nini? (Waamuzi 3:31).

Swali: Lile Konzo la Ng’ombe Shamgari alilowapigia Wafilisti mia sita lilikuwa ni nini? Jibu: Tusome, Waamuzi 3:30 “Basi Moabu alishindwa siku hiyo chini ya mikono ya Israeli. Nayo nchi ikawa…