DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

FUNGUO WALIZOKUWA NAZO MABINTI WATANO WA SELOFEHADI!

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo litukuzwe daima, karibu katika kuyatafakari maandiko. Katika biblia tunasoma Kisa cha mabinti wa tano wa mtu mmoja, wa kabila la Manase, waliokuwa mashujaa katika…

ANAKUJA KAMA “MWIVI” NA SI KAMA “ASKARI” FANYIKA CHOMBO CHA THAMANI.

Kikawaida tumezoea kujifunza mambo mema kutoka kwa maaskari, kwamfano pindi tunapoyaona majeshi ya polisi katika magwaride yao, jinsi yalivyo na utaratibu mzuri, huwa tunavutiwa nayo.. tunapoyaona yakiwa katika mafunzo ya…

KAMA SI YESU, HABARI YETU INGEKUWA IMEISHA ZAMANI SANA.

Jina la Bwana na mwokozi wetu, Mkuu wa uzima, Mfalme wa wafalme, Yesu Kristo libarikiwe. Hajawahi kutokea duniani Mtu wa muhimu, na wa Baraka kama Yesu. Leo tutaangalia kwa sehemu,…

USIYAACHE MAVAZI YAKO NA KWENDA UCHI!

Kuna mahali Bwana wetu Yesu alisema maneno haya.. Ufunuo 16:15 “ (Tazama, naja kama mwivi. HERI AKESHAYE, NA KUYATUNZA MAVAZI YAKE, ASIENDE UCHI HATA WATU WAKAIONE AIBU YAKE.)” Umewahi kujiuliza…

UVUMILIVU NA MIKAKATI YA ABSALOMU, INA FUNZO NYUMA YAKE.

Kati ya watoto ambao Daudi aliwapenda sana na wakati huo huo wakamsumbua sana, ni Absalomu. Absalomu alikuwa ni kijana mzuri wa umbo, na vilevile alikuwa ni kijana aliyetumia mbinu za…

CHAMBO ILIYO BORA.

Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia. Katika uvuvi, upo uvuvi wa kutumia ndoano, na pia upo uvuvi wa kutumia nyavu. Uvuvi wa kutumia ndoano ni uvuvi…

USIMLAANI KIZIWI, WALA USITIE KWAZO MBELE YA KIPOFU.

Walawi 19:14 “Usimlaani kiziwi, wala usitie kwazo mbele ya kipofu, bali umche Mungu wako; Mimi ndimi Bwana”. Vifungu hivyo vinatuonyesha, tabia ya watu ambao wanatumia udhaifu wa watu wengine kuwaletea…

TENGENEZA  NYAVU ZAKO, OSHA NYAVU ZAKO.

Shalom, Nakusalimu katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo. Karibu tujifunze maneno ya Bwana wetu. Katika mambo ya uvuvi, zipo kanuni za uvuvi za kufuatwa, wengi wetu tunadhani, kazi ya…

NJIA RAHISI YA KUMUHUBIRI KRISTO KWA MATAIFA.

Nakusalimu katika jina kuu la Bwana wetu Yesu Kristo. Ni siku nyingine tena Bwana ametupa neema ya kuiona, hivyo nakukaribisha sasa tuzidi kuyatafakari maneno matukufu ya Mungu wetu, Maadamu katujalia…

Nini maana ya “Amali” na “Ijara” katika biblia?

Jibu: Shalom. Neno “Amali” maana yake ni “kazi ngumu” hususani ile inayohusisha mwili, kama vile kazi ya kibarua cha kulima au kukata mti. Katika biblia neno hilo limeonekana mara nne..…