DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

Mtu asiye na akili ni nani kibiblia?

Kwa tafsiri za kidunia mtu asiye na akili ni mtu ambaye hawezi kufiriki, kuelewa, kuwasiliana, kupanga au kutatua matatizo. Hivyo, mwanadamu mwenye mtindio wa ubongo, anajulikana kama hana akili, mtu…

FANYIA KAZI KILE UNACHOKISIKIA.

Jina la Bwana na Mwokozi wetu YESU Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia (Neno la Mungu wetu) lililo taa ya miguu yetu na mwanga wa njia zetu (Zaburi 119:105). Biblia inasema…

Pale mwanandoa mmoja anaposhindwa kutimiza wajibu wake ufanyaje?

Wajibu wa wanandoa ni upi? Mume: Kumpenda mke wake Kama mwili wake mwenyewe, ( Waefeso 5:25):  Ikiwemo kumuhudumia kiafya, kimavazi, kimalazi, na kiroho. Mke: Kumtii Mume wake: Kumsikiliza, kumuheshimu, kukubali…

FAMILIA TAKATIFU: Marimu na Yusufu.

MAFUNDISHO MAALUMU KWA WANA-NDOA; FAMILIA TAKATIFU: Marimu na Yusufu. Karibu katika mwendelezo ya  Masomo ya wanandoa . Ikiwa wewe ni mwanandoa au unajiandaa kuingia katika ndoa, basi masomo haya ni…

Wahuni ni watu gani katika biblia?

Jibu: Kibiblia “Mhuni” ni mtu anayefanya mambo yaliyo kinyume na maadili. Kwamfano mtu anayetanga kuzaa nje na ndoa, huyo kibiblia ni mhuni. Katika biblia neno Mhuni/wahuni limeonekana mara moja tu!…

HAMA KUTOKA GIZANI

Je unajua ni kwanini watu watahukumiwa? Hebu tusome maandiko yafuatayo.. Yohana 3:19 “Na hii ndiyo hukumu; ya kuwa NURU IMEKUJA ULIMWENGUNI, NA WATU WAKAPENDA GIZA KULIKO NURU; kwa maana matendo…

Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake

SWALI: Biblia inaposema “Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake”, ina maana gani? Isaya 53:5 “Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu…

Nimempa Shetani watu hao, ili wafundishwe wasimtukane Mungu.

SWALI: Naomba kufahamu maudhui ya mstari huu, 1Timotheo 1:20 “Katika hao wamo Himenayo na Iskanda, ambao nimempa Shetani watu hao, ili wafundishwe wasimtukane Mungu”. JIBU: Awali ya yote, kabla ya…

TOFAUTI YA UBATIZO WA YOHANA NA UBATIZO WA BWANA YESU

Jina la Bwana na Mwokozi Yesu libarikiwe. Karibu tujifunze biblia. Je kuna utofauti wowote ya Ubatizo wa Yohana na ule wa Bwana Yesu?, Jibu ni kwamba hakuna utofauti wowote, ubatizo…

Azidishaye mali yake kwa riba, Humkusanyia mtu awahurumiaye maskini.

SWALI: Nini maana ya huu mstari;  Mithali 28:8 “Yeye azidishaye mali yake kwa riba na faida, Humkusanyia mtu awahurumiaye maskini. JIBU: Huyo anayezungumziwa azidishiye mali zake kwa riba na faida…