DON’T BE AFRAID WHEN YOU GO DOWN.

YESU NDIYE ATAKAYEKURUSHIA MAWE, USIPOTUBU.

Tunaishi katika ulimwengu ambao, ukisimama tu kuhubiri, au kukemea dhambi, moja kwa moja utaambiwa UNAHUKUMU, Ukimweleza mtu madhara ya dhambi ya uzinzi kuwa mwisho wake, ni motoni, atakuambia, wewe ni…

Wanikolai ni watu gani? Katika biblia?

“Nikolai” ni neno la kigiriki lenye maana ya “Kuteka madhabahu”. Katika kanisa la kwanza kulikuwa na kundi dogo la watu lililonyanyuka, ambalo lilikuwa linateka madhabahu. Na kuteka madhabahu kunakozungumziwa sio…

Kiburi cha Uzima ni nini? (1Yohana 2:16)

Tusome, 1 Yohana 2:16 “Maana kila kilichomo duniani, yaani, tamaa ya mwili, na tamaa ya macho, na kiburi cha uzima, havitokani na Baba, bali vyatokana na dunia. 17 Na dunia…

Je! Ni kanisa lipi sahihi kumuabudia Mungu?

Je! Ni kanisa lipi sahihi kumuabudia Mungu?

Maji ya Farakano ni nini katika biblia?

Kama jina lake lilivyo “Maji ya Farakano”...maana yake ni maji yanayoondoa mafarakano. Mtu yeyote katika Israeli ambaye alikuwa amejitia unajisi kwa kugusa maiti ya mtu, alikuwa amejifarakanisha na Mungu, hivyo…

Je suruali ni vazi la kiume tu?

Ni wapi katika biblia panaonyesha kuwa suruali ni vazi la kiume tu? Na vipi juu ya kanzu!, mbona kama ni mfano wa gauni lakini linavaliwa na wanaume, kwanini Suruali isivaliwe…

Mzushi ni nani kibiblia? (Tito 3:10).

Kibiblia mzushi ni mtu anayezusha jambo au mada ambazo lengo lake ni kuleta MIGAWANYIKO!. Mtu anayezuka katikati ya kanisa na kuzusha mada ambazo anajua kabisa zitaishia kuleta migawanyiko ndani ya…

JINSI YA KUUHARIBU UJANA WAKO.

Hizi  ni baadhi ya njia zitakazokusaidia kuuharibu ujana wako kwa wepesi. Pendelea makundi yasiyojenga. Wahuni ni ndio wawe marafiki zako, wazinzi ndio wawe kampani yako, walevi ndio wawe watu wa…

NITAUVUTAJE UWEPO WA ROHO MTAKATIFU KARIBU NAMI?

Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe, Leo tutajifunza jinsi ya kuuvuta uwepo wa Roho Mtakatifu karibu nasi. Yapo mambo makuu matatu yanayovuta uwepo wa Mungu karibu nasi.…